17 Agosti 2020
Bunda Mjini
Tanzania
ESTER BULAYA ALIVYOCHUKUA FOMU YA UBUNGE, MASHEHE, MAPADRI WAMPIGIA MAOMBI, SALA NA DUA KWA SAA NA NUSU
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Bunda Mjini Ester Bulaya akikabidhiwa fomu ya Kuwania ubunge wa jimbo hilo na Msimamizi wa Uchaguzi Janeth Mayanja ili kutetea nafasi yake katika uchaguzi Mkuu 2020.
Msimamizi wa uchaguzi Janet Mayanja amewakumbusha waliochukua fomu wanatakiwa wazirejeshe tarehe 25 Agosti 2020 lakini wanaweza kufika ofisini kwake siku 3 kabla ya tarehe hiyo ili kuweza kupata nafasi ya kuzihakiki na kuzisahihisha kama itahitajika
Esther Bulaya akiongea mbele ya wana Bunda alisema anashukuru kupewa imani hiyo na kwa kuwa anajua kusoma na kuandika fomu hiyo itajazwa kwa umakini mkubwa na kusema hamasa waliyoionesha na imani ya wanaBunda 2020 imempa imani kubwa zaidi kuliko chaguzi zingine zilizopita.
Chanzo: Mwananchi digital
Bunda Mjini
Tanzania
ESTER BULAYA ALIVYOCHUKUA FOMU YA UBUNGE, MASHEHE, MAPADRI WAMPIGIA MAOMBI, SALA NA DUA KWA SAA NA NUSU
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Bunda Mjini Ester Bulaya akikabidhiwa fomu ya Kuwania ubunge wa jimbo hilo na Msimamizi wa Uchaguzi Janeth Mayanja ili kutetea nafasi yake katika uchaguzi Mkuu 2020.
Msimamizi wa uchaguzi Janet Mayanja amewakumbusha waliochukua fomu wanatakiwa wazirejeshe tarehe 25 Agosti 2020 lakini wanaweza kufika ofisini kwake siku 3 kabla ya tarehe hiyo ili kuweza kupata nafasi ya kuzihakiki na kuzisahihisha kama itahitajika
Esther Bulaya akiongea mbele ya wana Bunda alisema anashukuru kupewa imani hiyo na kwa kuwa anajua kusoma na kuandika fomu hiyo itajazwa kwa umakini mkubwa na kusema hamasa waliyoionesha na imani ya wanaBunda 2020 imempa imani kubwa zaidi kuliko chaguzi zingine zilizopita.
Chanzo: Mwananchi digital