Espionage: Majasusi wa Mossad walivyoiba mkojo wa Rais Hafez Al-Assad wa Syria kwa kutumia choo cha bandia

British Mandate for Palestine (legal instrument)

This article is about the Mandate instrument passed by the League of Nations granting Britain a mandate over the territories of the Ottoman Empire, that today are the State of Israel, the West Bank, the Gaza Strip and Jordan. For a history of the period, see Mandatory Palestine and Emirate of Transjordan.
The British Mandate for Palestine (valid 29 September 1923 - 15 May 1948), also known as the Mandate for Palestine or the Palestine Mandate, was a "Class A" League of Nations mandate for the territories of Palestine, in which the Balfour Declaration's "national home for the Jewish people" was to be established, and Transjordan, a separate Arab Emirate, both of which were conceded by the Ottoman Empire following World War I.
League of Nations - Mandate for Palestine and Transjordan Memorandum
British Command Paper 1785, December 1922, containing the Mandate for Palestine and the Transjordan memorandum
Tell him
 
Agano jipya limeshaclarify kwamba warithi wote wa baraka za Abraham ni waaminio wote..... Hivyo Israel ya sasa sio ''nchi'' bali ni WAAMINIO wote ikimaanisha MATAIFA YOTE YENYE WAAMINIO NI TAIFA LA MUNGU kasome waebrania.

Kingine Israel ya miaka yote huwa wanarudishwa na nabii kwenye nchi yao ya ahadi sasa naomba unisaidie je ni nabii gani ambaye aliwarudisha hawa Ashkenazi huko Israel hii ya sasa???

Kingine Israel ya sasa imefika hapo ilipo kwa msaada wa marekani ukitaka kujua hilo jiulize kivipi wayahudi kabla ya kusaidiwa na wamarekani 1945+ kivipi waliuawa kama wanavyodai Million 6?? na maana kipindi wanauawa hawakuwa taifa la Mungu?? Je marekani ambayo inaaminika inatumia mbinu zote chafu na kishetani kujilimbikizia utajiri leo hii likitumia kufadhili TAIFA LA MUNGU je ni sawa?? Kweli Taifa la Mungu afadhiliwe na nchi inayosupport ushoga,uFreemason na uvamizi wa nchi za watu??

Duh ni vizuri tusiwe na uharaka wa kusupoort mambo tusiyo na uhakika nayo
inastaajabisha taifa la mungu linapewa backup na taifa la shetani
 
Back
Top Bottom