Esoteric: Uhusiano wa Zitto, JK, Salim A.S, Ridhwan, Omar Ilyas & then some Islams?

Status
Not open for further replies.
Ziton si mdini bali wadini wapo! Zito ni mkweli na siku zote amekuwa akisimamia anachokiamini. Laiti kama Zito angelikuwa ni Mdini iweje amuunge mkono Kafulila? Unajua mtu akitaka kukupakaza kinyesi hukuvizia pasipo na maji. Je hamuwajui marafiki wa damu wa Zito ni kina nani? dini zao ni gani? Je ni kweli walikuwa chanda na pete na Zito pale Daruso ni hao tu? Tatizo la wanajamvi wengi ni kukurupuka mmeletewa jambo lichimbeni sana mwende nalo mbali... ndio maana mtoa mada akawaambia mwende nje ya box! :teeth:
 
Waberoya umenena! Ni chungu lakini inabidi kuimeza tu. Tunavyotaka kusafisha kwengine tusisahau nyumba yetu. Tunayatafakari yote na inshallah ukweli utajulikana
 
Waberoya na members, Zitto anaingia hapa ndani ya 2hrs kujibu kila tuhuma inayoelekezwa kwake na hata hii atatoa maelezo kwa kina. Naomba msiharibu mtiririko ili apate kujibu mmoja baada ya mwingine.

Ni kwa taarifa tu
 

Mimi nimekuwa nikimfuatilia mheshimiwa Zito, tangu alipoongoza mapinduzi ya kupindua serikali ya DARUSO mwaka 2002/2003 wakisaidiana na Ridhwan Kikwete na OmarLyas. Kipindi hicho nikiwa mmoja wa mawaziri wa serikali, ambayo ilipona kupinduliwa. Na tumekuwa wote ndani ya bunge la UDSM-USRC

Mimi personally nimekuwa muwazi sana na mkweli katika kila kitu kinacholigusa taifa hili na hasa uhuru wa mawazo na maoni ambao umedhihirika kuwa watanzania wengi sio kuwa hawana, bali huwa wepesi sana kuamini mambo na ni waoga kuonekana wanapingana na hali iliyopo.

Mtazamo huu umenifanya nimpende Zito na JF members wowote wale ambo huwa wanapenda kufikiria nje ya box, au another direction/angle. Zito amekuwa akinifurahisha kwa kuleta changamoto za kuleta mawazo tofauti na kile ambacho wengi huwa wanafikiria.

Zito ni kweli anapenda sifa, kama binadamu mwingine yeyote yule, ila unapotaka sifa kwa kusimamia haki na ukweli na hasa unapopigania haki basi sifa hii ni sifa timilifu na inapendeza. OmarLyas naye alikuwa mmoja wao wa wanaopenda sifa ila kwa sasa naona amekua kidogo, nadhani Salim A Salim amemkuza.

Si nia yangu niwaharibie hawa jamaa , ila ni hali yangu kueleza ninachowaza baada ya kuwafuatilia hawa watu tangu enzi hizo. Sijajua status ya OmarLyas kwenye issue nzima za udini, siwezi kumtuhumu, personally nimemuona ni mtu mzuri tu na anayependa wote pasi kujali udini ila bado ni rafiki wa Zito!

Tuendelee…, Role model wa Zito ni Salim A. Salim, rais bora kwake yeye ni Kikwete, MD bora aliyewahi kumsema yeye ni Rashid Idrisa yule wa TANESCO.

Tie,cord, umoja, Urafiki wa Zito,Ridhwan, Omarlyas ni mkubwa sana kuliko maelezo, hili group lililotaka kuipindua serikali ya Kayombo-DARUSO, ili wao wapate madaraka si tu ni la hatari bali la kuangaliwa sana. Ridhwan amekuwa akijitetea sana yeye anataka ku-practise sheria hili hali kutaka uongozi amekuwa akitamani tangu siku nyingi sana.

Ukiwa rafiki na Ridhwan umekuwa rafiki wa Kikwete!!! Huwezi kuwa adui wa JK ukawa rafiki wa Ridhwan, JK si tu anampenda Ridhwan kama motto, bali kama mwanaCCM mwenzie aliye tayari kulinda interest zao.

Si ajabu Zito kuwa alikuwa mmoja wa wanakamati ya bunge ya kuchunguza madini, maana JK anampenda Zito, ambaye ni rafiki wa Ridhwan!

Alichotamka Juzi ni mwendelezo wa kumuonyesha JK kuwa yuko ‘NAYE’ na yuko mbali na chadema na kuwa yeye hakuwa na mawazo kama wanachadema wengine!!!. Hakuishia hapo tu bali alisema JK amefanya mengi Kigoma! Hivyo hakuona sababu ya kutoka nje ya bunge, kwa hiyo hakwenda kabisa, Huu ujumbe haukuwa kwa wananchi, ulikuwa unaenda kwa JK rafiki yake! Hata kama JK kafanya mambo mengi huko jimboni kwake Kigoma ni wajibu wake kama rais na haikuwa zawadi.

Kilichonifanya nijiulize je what makes Zito na JK kuwa marafiki? Je Zito na JK walikuwa wanajuana kabla ya JK kuwa rais? Definitely Yes!

Je swali gumu na baya ambalo halina ushahidi ni je Zito kuwa inclined kwa JK, Salim,na kuwapenda baadhi ya viongozi wa kiislam je ni mdini?..........I mean chunguzeni hili. May be not! Kindly don’t conclude! What Salim teaches Zito?? Salim is CCM, is Salim and JK close friends? Cause Ommy and Zito are close friends, Ooh! Ommy ni personal assistant wa Salim, Nauliza Kama Ridh, Zito, Ommy ni marafiki then Salim and JK ni maadui? Find out please. However, we all know JK ni mdini, maana alianza harakati za udini tangu akiwa UDSM miaka hiyo….na hili fuatilieni

Nani anayejua Zito ana mtambo wa kusaga kokoto na alipata tender ya barabara ku-supply kokoto? Is he defending his interest indirectly?

Au ni kuwa ni great thinker ambaye anaishi kwa falsafa zake ambazo hatuzijui! Je mnafikiri Zito kuwaambia waandishi wa habari yaliyojiri ndani ya chadema alikuwa hajui watu watamrudi? Who is greater to him? JK, wananchi wake Kigoma, mali au?

I mean we should be careful na watu kama Zito yes they are bright, mmh! But they might be dangerous for the opposition existence. But we should examine him carefully and not judge him. Nimegusia tu swala la uislam maana mpaka leo kuna baadhi ya waislamu wanaofikiri kuwa wanaiweza kuigawa nchi hii kidini, na kuna wakristo wanaofikiri wanaweza kuigawa nchi hii kidini.

That’s bringing another bitter question how far do we believe these opposition leaders? I mean all!

That said, I am just thinking

... Mkuu, I salute you. Nchi hii ina hazina kubwa sana ya WATU. WATU aina ile inayohitajika kama pre-requisite towards MAENDELEO. I dare say, u r one of them.
By taking note of GAMES that politicians play be it for short and long term gains, conspiarcy theories emerge. Sustaing their INTERESTS becomes sacrosanct.

As for Zito, and I dare say that I have met the boy in person. I could not avoid noting how conceited the boy is. I wont therefore be surprised that a long term shot in the said games will ultimately reveal a shocking truth, unmasking the con he might be. You can also judge the boy by the company he keeps at night.
 
Waberoya na members, Zitto anaingia hapa ndani ya 2hrs kujibu kila tuhuma inayoelekezwa kwake na hata hii atatoa maelezo kwa kina. Naomba msiharibu mtiririko ili apate kujibu mmoja baada ya mwingine.

Ni kwa taarifa tu

Naomba Zitto anipatie majibu ya kina kwanini alipinga maoni ya wananchi wengi mjengoni kuhusiana na EAC free movement of labour na free to acquire land.
 
Mimi nimekuwa nikimfuatilia mheshimiwa Zito, tangu alipoongoza mapinduzi ya kupindua serikali ya DARUSO mwaka 2002/2003 wakisaidiana na Ridhwan Kikwete na OmarLyas. Kipindi hicho nikiwa mmoja wa mawaziri wa serikali, ambayo ilipona kupinduliwa. Na tumekuwa wote ndani ya bunge la UDSM-USRC

I mean we should be careful na watu kama Zito yes they are bright, mmh! But they might be dangerous for the opposition existence. But we should examine him carefully and not judge him. Nimegusia tu swala la uislam maana mpaka leo kuna baadhi ya waislamu wanaofikiri kuwa wanaiweza kuigawa nchi hii kidini, na kuna wakristo wanaofikiri wanaweza kuigawa nchi hii kidini. That said, I am just thinking [/COLOR][/B]
C'mon Waberoya!, being a graduate, you can do better than this. Let it be, Zitto ni rafiki na whoever tangu alipokuwa chuo, does that has anything to do na Zitto mwanasiasa?, please don't start these conspiracy theories based on personalities or friendship, mbona Zitto, Jussa na January they are good friends and yet kila mtu anatoka chama tofauti?. Suppose ikitokeo ukawakuta wote watano wamekaa mahali for a drinking spree utasema they are conspiring or just exchanging ideas?!.

Zitto au hata Freeman unaweza kukuta ni pals na JK, urafiki ni urafiki beyond political affiliation, tusianze kujenga siasa za chuki na kufanya mahasimu wa kisiasa kugeuka mahasimu wa kiukweli, politics its only a game, no permanent friends, no permanet enemies, mark my word, siku si nyingi, mtamshuhudia Dr. Slaa akicheka na JK!, itakuwa Zitto na hao marafiki zake!?.

Mimi ni miongoni wa waumini wachache wa kitu kinachoitwa 'powers from within' to make things happen, Zitto anazo!, na hizi kelele zote kuhusu Zitto kafanya hili, Zitto kasema lile, ni manifestation ya just the 'aura' ya hizo powers na hapo ndio bado hazijawaka na zikifikia stage ya juu kabisa ni kulipuka with a bang!, let these young fellows alone please!.

Kwa wafuatiliaji wa mambo ya siasa za bongo pale UDSM, mwaka 1995, ni Omar Ilyas na kundi lake ndio walimwalika JK pale Mlimani, na ndipo alipotangaza nia ya kuingia dimbani kwa mara ya kwanza. Ilyas ni mtu wa misimamo isiyoyumba, japo mimi binafsi namuona kama mwanamageuzi na mwana mapinduzi na namkubali popote alipo be it CCM au nje ya CCM, can bring about the changes, so do Zitto, na mabadiliko yakaja, na urafiki ukaendelea bila any conspiracy theories behind.

Pasco.
 
Zito amesema anangoja adhabu. Hi maana yake nini? Soma katikati ya mistari. huyu jamaa naona anataka kuwa kumbikumbi, ataliwa na kunguru sasa hivi.

Analazimisha adhabu ya kufukuzwa uananchama, tayari anajua pa kwenda ni kama msichana anayedanganywa na mwananume kuwa baba akikufukuza wewe njoo kwangu
 
Zitto hajawahi kuongoza mapinduzi ya DARUSO aliye ongoza mapinduzi hayo anaitwa Alberto Msando....Zitto Hana uwezo wa kuleta mapinduzi yoyote yale.Nakumbuka sana kilicho tutokea mwaka 2002/2003 mimi na intellectual tukiwa hall one pale mlimani tulipanga mikakati ya kwenda kumtoa marehemu Gervas Mkili Magereza ya keko alikokuwa anashikiliwa kwa kuamsha kunji pale mlimani tukiwa shirikisha wenzetu wa UCLAS na Mhimbili.

Zitto naye akaungana nasi tukijua mwanamapinduzi mwenzetu tuka kaa naye tuka jadiri naye kuanza mkakati chini ya usiri mkubwa ambao yeye mwenyewe alisisitiza sana.Mimi na inteellectual tukaelekea Mhimbili tukamwacha yeye Mlimani akifanya mikakati ya kwenda UCLAS.lakini tulipo rudi toka Mhimbili saa nne usiku tukakuta matangazo yamebandikwa kila mahala yakugundulika kwanjama za kunji (Mgomo) yakiambatana na matishio mengi juu ya watekelezaji wa mkakati huo.Tulimtafuta zitto hatukumwona hakika wanajamvi nawambia intellectual alilia machozi kwa usaliti uliofanywa na zitto.

Hata hapo alipo fika CDM wamemfikisha walimwandaa toka akiwa Tosa maganga sec Waridi Kaburu alimwahidi kuwa akimaliza masomo atakuwa katibu mkuu wa CDM kwa mdomo wake Zitto aliniambia tukiwa pale DARUSO na alikuwa akimlaumu kauwa kaburu haonyishi dalili ya kumpa ukatibu mkuu na wakati yeye ana kalibia kumaliza chuo.Aliniomba physical address yangu tutafutane baada ya kutoka pale mlimani niligoma kabisa nikasema sikupi kwasababu nilikuwa simwelewi kabisa na tabia zake za kimafya ambazo mpaka sasa anazo.

Angalizo Watanzania tunahitaji kuwa makini na watu kama hawa huyu anaweza akauza hata nchi kwa manufaa yake binafsi
 
Huu utafiti ukiuangalia ni kama umefanyika kwa umakini mkubwa. But maswali yangu ni haya;
Je Zitto hakuwa na marafiki wakristo katika hilo kundi lao?
Je kuwa na marafiki wenye majina ya ki islamu ina maana wewe ni mdini?
Z ana marafiki wengi tu, but why wamekuwa mentioned wa islamu tuu?

Ni msg ya kidini na ya hatari sana, mimi naamini kama kuna kitu kibaya Z anafanya, mungu atamuweka wazi tuu, haitachukua muda
 
Waberoya, napenda kushiriki kwenye mjadala huu ambao umeanzisha. Nafanya hivi ilhali sikupenda kwani niliamua nisijibu lolote. Kuna masuala umesema ni ya kweli na mengine ni uzushi ambao umesemwa, ukazunguka na kisha ukauamini. Mengine ni uwongo wa wazi.

Kwa mfano nikikuuliza ni wapi mtambo unaosema wa kokoto ninaoumiliki ulipo utajibuje? Nimemwomba mod aniruhusu na interactive session hapa JF na tuulizane, tujibizane na tuzungumze
 
Nilichofahamu hapa baada ya yote, ni kuwa mtu mkitafautiana kidini na kiitikadi tayari anakuwa adui yako.
Nilivyofahamu hapa, kwa kuwa Zitto yuko Chadema, hapaswi tena kuwa na marafiki kutoka vyama vyengine.
Nilichofahamu hapa, kwa kuwa Zitto ni mwislamu na marafiki zake ni waislamu, Zitto ni hatari.

Lakini katika maisha halisi, tunazo familia ambazo Baba chama chake, mama dini yake, mtoto timu yake anayoipenda na wanaishi kwa amani.

Nimemtaja Zitto kwa sababu ndiye anayejadiliwa hapa, lakini mada hii inawahusu pia viongozi wetu kidini, kijamii na kisiasa. Padri akiingia msikitini, tayari amesilimishwa; CCM akimtembela CUF, tayari ni msaliti, mwislamu akiingia anisani, tayari anatafutwa kichwa chake. Uko wapi uhuru! Iko wapi demokrasia! Watanzania, tatizo letu nini?
 
The moon landing was a hoax

Obama is a secret Muslim and a socialist

Nyerere was used by the church to suppress Zanzibaris

Zitto, Ridhiwani, SAS, ans JK have muslimist agenda.

Ukimwi is a ploy to kill Africans

Conspiracy: Hamna lolote. Paranoia.
 
Jamani ili iwe rahisi kwa zito kujibu naomba tuweke maswali yetu vyema langu ni:-
Hivi aliona faida gani kuzungumzia what happened behind the scenes kwenye mkutano wa chadema na vyombo vya habari. Je haoni kuwa alipoteza media coverage yote ya ule mgomo na kufanya vyombo vya habari vianze zungumzia mgawanyiko wa chama
 
Zitto hajawahi kuongoza mapinduzi ya DARUSO aliye ongoza mapinduzi hayo anaitwa Alberto Msando....Zitto Hana uwezo wa kuleta mapinduzi yoyote yale.Nakumbuka sana kilicho tutokea mwaka 2002/2003 mimi na intellectual tukiwa hall one pale mlimani tulipanga mikakati ya kwenda kumtoa marehemu Gervas Mkili Magereza ya keko alikokuwa anashikiliwa kwa kuamsha kunji pale mlimani tukiwa shirikisha wenzetu wa UCLAS na Mhimbili.

Zitto naye akaungana nasi tukijua mwanamapinduzi mwenzetu tuka kaa naye tuka jadiri naye kuanza mkakati chini ya usiri mkubwa ambao yeye mwenyewe alisisitiza sana.Mimi na inteellectual tukaelekea Mhimbili tukamwacha yeye Mlimani akifanya mikakati ya kwenda UCLAS.lakini tulipo rudi toka Mhimbili saa nne usiku tukakuta matangazo yamebandikwa kila mahala yakugundulika kwanjama za kunji (Mgomo) yakiambatana na matishio mengi juu ya watekelezaji wa mkakati huo.Tulimtafuta zitto hatukumwona hakika wanajamvi nawambia intellectual alilia machozi kwa usaliti uliofanywa na zitto.

Hata hapo alipo fika CDM wamemfikisha walimwandaa toka akiwa Tosa maganga sec Waridi Kaburu alimwahidi kuwa akimaliza masomo atakuwa katibu mkuu wa CDM kwa mdomo wake Zitto aliniambia tukiwa pale DARUSO na alikuwa akimlaumu kauwa kaburu haonyishi dalili ya kumpa ukatibu mkuu na wakati yeye ana kalibia kumaliza chuo.Aliniomba physical address yangu tutafutane baada ya kutoka pale mlimani niligoma kabisa nikasema sikupi kwasababu nilikuwa simwelewi kabisa na tabia zake za kimafya ambazo mpaka sasa anazo.

Angalizo Watanzania tunahitaji kuwa makini na watu kama hawa huyu anaweza akauza hata nchi kwa manufaa yake binafsi
duh, mnyonge anyongwe ila haki apewe. Marehemu mkili afufuke leo na aje ayasome haya.duh, haya bwana
 
ninaahirisha kazi zangu zote naamua kuufuatilia huu mjadala IN A VERY SERIOUS CONCETRATION!....
 
Nilisha-post huko nyuma na narudia tena - Zitto yupo kwenye "mission" maalum ndani ya "siasa za upinzani" - Hajaonyesha upande upi yupo lakini ukifuatilia amekuwa hana msimamo ndani ya CHADEMA - hii mnaita ni Demokrasia, lakini lazima tukubali kuwa kama chama lazima kuna mambo yanayokubalika "collectively" - Na hata kama haukubaliani nayo huwezi kwenda "public"
 
Na kwa jinsi Jk asivyotabirika na kupenda sifa zisizo na mnufaa kwa taifa na kwa kauli yake kuwa atachagua mawaziri bila kujali itikadi ya chama kuna uwezekano Zitto akawana naibu wa waziri wa madini aka msaidizi wa Ngeleja
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom