Esoteric: Uhusiano wa Zitto, JK, Salim A.S, Ridhwan, Omar Ilyas & then some Islams?

Status
Not open for further replies.
Mlaizer, unachanganya migomo miwili tofauti. Mgomo wa kwanza ni ule nitakaouita mgomo wa Mkili (Gervas) R.I.P. Huu Zitto alishiriki kikamilifu na baada ya hapo uchaguzi ulifanyika. Julius Rugemalira akawa Raisi, Flaviana Charles Makamu, Zitto Kabwe Katibu Mkuu, Albert Msando Speaker na Omar Ilyas Waziri wa Haki za Binadamu na wengineo.

Baada ya hapo uongozi wetu ukamaliza muda wake. Kayombo akachaguliwa Raisi na serikali yake. Ndio mgomo wa pili nitakaouita mgomo wa Kayombo ukafanyika. Mwanzoni haukuwa mgomo bali shinikizo la kutaka ajiuzulu kwa kushindwa kutatua matatizo ya wanafunzi haswa la hela za field kwa education nk. Ukafanyika mkutano Rev Square. Wanafunzi wakaenda Nkurumah Hall. Prof. Shivji alikuwa anafundisha Wanafunzi wa Sheria Mwaka wa pili. Akatupa mic na kutukabidhi hall. 'Uchaguzi' ukafanyika nikachaguliwa Raisi wa Muda na Siriwa Makamu wa Raisi. Kitu pekee kikubwa Zitto na Omar walichofanya ni kustrategize baada ya hayo kutokea na kushauri kutokurudi nyuma. Hawaku mastermind. Kama mgomo ule ulipangwa basi aliyepanga hakuwa Zitto wala Omar Ilyas. Ni kweli walisupport mapinduzi. Isingewezekana waache. Wao ni wanamapinduzi.

Nilijadiliana na Zitto kuhusu kuandika historia ya Daruso 1999 - 2004. Bado naamini ni muhimu ili tuwe na taarifa sahihi. Historia hiyo itasaidia kuonyesha viongozi wengi ni kina nani huko mbeleni.

Tuendelee kukumbushana.
 
Waberoya,

Napinga kwa sauti kuu kwamba Ridhiwani alipanga mgomo. Hajawazi kupanga mgomo kwa muda wote niliosoma UD. Alishiriki migomo lakini hakuipanga. Ni wanaCCM wachache sana walishiriki kikamilifu migomo bila kutoa taarifa za mipango ya wanafunzi na majina ya wahusika serikalini na utawala.

Kama Riz alitaka kufunga mlango wa Daruso basi alifanya hivyo kama mshiriki si mpangaji kwa sababu hata Zitto na Omar hawakupanga mapinduzi au mgomo wa Kayombo. Wao wanaweza kusema pia.

Ni kweli tulipanga mgomo wa Mkili. That was the and remains the best memory in me. I hope many others. We succeeded. Mkili was released and we got a chance to head Daruso and ended not less than JK now. Ours was a popular government but lost it on the way. I remember I lost the USRC Speaker post to Otieno when I ran for the second time.

Good old days still hanging on us.
 
Waberoya,

Siriwa sijui yuko wapi kamanda. Jamaa alikuwa ngangari ila kuna madogo wawili walikuwa tabu pia. Ndaskoi na Tweve. Ndaskoi yupo ni mwanaharakati na aligombea dhidi ya Lowassa Monduli kwa tiketi ya CuF! Tweve sijui.

Kuna Max, Nyangasa na Gasper Otieno. These guys! I really feel their boldness. The engineers who always had a way with things. Always needed in time of trouble. They rescued my seat as a Speaker when I had a fall out with Zitto. Bob Leo alileta hoja ya mimi kuondolewa kwenye uspika baada ya ukomo wa nafasi yangu kama katibu wa faculty of law. Dah, that was politics at its best. Zitto had a hand in it. But it ended well.
 
Wab Niliuliza swali na article yangu nimeandikwa kwa kuuliza if he is not inclined in religion than it is GOOD ok! kama anakatabia hako ataacha maana tutakuwa tumemshtukia. kuwa anao au hana yeye anajua!![/QUOTE said:
Honestly, you can not state more clearer than this. I sincerely hope Zitto would be granted wisdom and take to heart what you have stated on the above quote. These might be speculations, but he needs to really dig deep and reflect on what the future holds for him. I think if he does not truly take some time to reflect on how hes has been linked to such accusation his future is not as bright as it seems. If I were Zitto, I would regroup and work on branding myself differently. He needs to recycle his old attitude and come out clean and new.
Also you should take this post as a wake up call and thank the gentleman who posted the post. I think he has brought a very critical subject that has been on quite a number of people's mind.

You still have a lots of room for change. Stay away from those who might attempt to pollute your mind and soul.

Aluta continua...
God bless Tanzania and its people.
 
Nimekubali analysis yako ndugu!

Ni kweli upinzani ndani ya nchi yetu umekuwa ukidorora mara baada ya chaguzi kuu na kupoteza muelekeo wa kisiasa na kukosa uaminifu wa wananchi. Kuzorota kwa upinzani kunatokana na kuwa na viongozi pandikizi, vigeugeu ndani ya vyama pinzani ambao ndio wanaoanzisha migogoro na kugawa chama, ndio waropokaji na wenye kuanzisha propaganda za kuwaonyesha wananchi kuwa upinzani haujakomaa kuweza kuiongoza nchi.

Nafikiri katika karne hii ya social networking inawakosesha nguvu sana chama tawala pamoja na propaganda zao za kudhoofisha upinzani. Zitto ni kiongozi mzuri ila asiyejiamini kwa ujasiri wote kutetea kile kinachomfanya aonekane bora (wanyonge) najaribu kuto-judge. Udhoofu huu unaweza kujengea nguzo kubwa kwa chama tawala kwenye kuwaharibia CDM, kuna haja kubwa sana kwa CDM kumwangalia na kumfuatilia kwa karibu bwana huyu ili kuuimarisha upinza wa kweli nchini utakaojenga na kuendeleza nchi.
 
Machozi ya furaha yananitoka pale ninapoona watanzania wenzangu wanaona, wanaelewa, wanafafanua na wanatusaidia wengine kuona, kuelewa na kufahamu.

Big Up!

Zito ni pandikizi la CCM na ndo maana walimnyima uenyekiti kwa hali na mali.
 
Mkuu waberoya umenena sana.
Tuna taarifia kuwa mkakati huo pia unalengo la kumsaidia Edward Lowasa kwa kuidhoifidsha Chadema.Wanaamini kuwa ndani ya CCM hakuna atakayemweza EL. Hivyo hofu ni CDM tu. Kwa hiyo wanadhani wakiua CDM EL lowasa ataingia ikulu. Zitto atakuwa kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni. Watafanikiwa ? Sidhani.
Pili Chadema wanajua yote haya.Mungu awasaidie kumdhibiti zitto.
 
hii ni post kuu siku ya leo, na labda ni ya wiki nzima.

naungana na wewe kwa 120% jamaa anasema udini but ukimchunguza yeye ndo mdini, binafsi nimekuwa namfuatilia toka aingie bungeni 2005 his best friends wamekuwa hao jamaa. Tusifiche zitto na jk ndo wadini, kama wanabisha watutajie wadini ni kina nani..........
 
Mimi nimekuwa nikimfuatilia mheshimiwa Zitto, tangu alipoongoza mapinduzi ya kupindua serikali ya DARUSO mwaka 2002/2003 wakisaidiana na Ridhwan Kikwete na Omar Ilyas. Kipindi hicho nikiwa mmoja wa mawaziri wa serikali, ambayo ilipona kupinduliwa. Na tumekuwa wote ndani ya bunge la UDSM-USRC

Mimi personally nimekuwa muwazi sana na mkweli katika kila kitu kinacholigusa taifa hili na hasa uhuru wa mawazo na maoni ambao umedhihirika kuwa watanzania wengi sio kuwa hawana, bali huwa wepesi sana kuamini mambo na ni waoga kuonekana wanapingana na hali iliyopo.

Mtazamo huu umenifanya nimpende Zitto na JF members wowote wale ambo huwa wanapenda kufikiria nje ya box, au another direction/angle. Zitto amekuwa akinifurahisha kwa kuleta changamoto za kuleta mawazo tofauti na kile ambacho wengi huwa wanafikiria.

Zitto ni kweli anapenda sifa, kama binadamu mwingine yeyote yule, ila unapotaka sifa kwa kusimamia haki na ukweli na hasa unapopigania haki basi sifa hii ni sifa timilifu na inapendeza. Omar Ilyas naye alikuwa mmoja wao wa wanaopenda sifa ila kwa sasa naona amekua kidogo, nadhani Salim A Salim amemkuza.

Si nia yangu niwaharibie hawa jamaa , ila ni hali yangu kueleza ninachowaza baada ya kuwafuatilia hawa watu tangu enzi hizo. Sijajua status ya Omar Ilyas kwenye issue nzima za udini, siwezi kumtuhumu, personally nimemuona ni mtu mzuri tu na anayependa wote pasi kujali udini ila bado ni rafiki wa Zitto!

Tuendelee: Role model wa Zitto ni Salim A. Salim, rais bora kwake yeye ni Kikwete, MD bora aliyewahi kumsema yeye ni Rashid Idrisa yule wa TANESCO.

Tie, cord, umoja, Urafiki wa Zitto, Ridhwan, Omar Ilyas ni mkubwa sana kuliko maelezo, hili group lililotaka kuipindua serikali ya Kayombo-DARUSO, ili wao wapate madaraka si tu ni la hatari bali la kuangaliwa sana. Ridhwan amekuwa akijitetea sana yeye anataka ku-practise sheria hili hali kutaka uongozi amekuwa akitamani tangu siku nyingi sana.

Ukiwa rafiki na Ridhwan umekuwa rafiki wa Kikwete!!! Huwezi kuwa adui wa JK ukawa rafiki wa Ridhwan, JK si tu anampenda Ridhwan kama motto, bali kama mwanaCCM mwenzie aliye tayari kulinda interest zao.

Si ajabu Zitto kuwa alikuwa mmoja wa wanakamati ya bunge ya kuchunguza madini, maana JK anampenda Zitto, ambaye ni rafiki wa Ridhwan!

Alichotamka Juzi ni mwendelezo wa kumuonyesha JK kuwa yuko ‘NAYE’ na yuko mbali na chadema na kuwa yeye hakuwa na mawazo kama wanachadema wengine!!!. Hakuishia hapo tu bali alisema JK amefanya mengi Kigoma! Hivyo hakuona sababu ya kutoka nje ya bunge, kwa hiyo hakwenda kabisa, Huu ujumbe haukuwa kwa wananchi, ulikuwa unaenda kwa JK rafiki yake! Hata kama JK kafanya mambo mengi huko jimboni kwake Kigoma ni wajibu wake kama rais na haikuwa zawadi.

Kilichonifanya nijiulize je what makes Zitto na JK kuwa marafiki? Je Zitto na JK walikuwa wanajuana kabla ya JK kuwa rais? Definitely Yes!

Je swali gumu na baya ambalo halina ushahidi ni je Zitto kuwa inclined kwa JK, Salim na kuwapenda baadhi ya viongozi wa kiislam je ni mdini?..........I mean chunguzeni hili. May be not! Kindly don’t conclude! What Salim teaches Zito?? Salim is CCM, is Salim and JK close friends? Cause Ommy and Zitto are close friends, Ooh! Ommy ni personal assistant wa Salim, Nauliza Kama Ridh, Zitto, Ommy ni marafiki then Salim and JK ni maadui? Find out please. However, we all know JK ni mdini, maana alianza harakati za udini tangu akiwa UDSM miaka hiyo….na hili fuatilieni

Nani anayejua Zitto ana mtambo wa kusaga kokoto na alipata tender ya barabara ku-supply kokoto? Is he defending his interest indirectly?

Au ni kuwa ni great thinker ambaye anaishi kwa falsafa zake ambazo hatuzijui! Je mnafikiri Zitto kuwaambia waandishi wa habari yaliyojiri ndani ya chadema alikuwa hajui watu watamrudi? Who is greater to him? JK, wananchi wake Kigoma, mali au?

I mean we should be careful na watu kama Zitto yes they are bright, mmh! But they might be dangerous for the opposition existence. But we should examine him carefully and not judge him. Nimegusia tu swala la uislam maana mpaka leo kuna baadhi ya waislamu wanaofikiri kuwa wanaiweza kuigawa nchi hii kidini, na kuna wakristo wanaofikiri wanaweza kuigawa nchi hii kidini.

That’s bringing another bitter question how far do we believe these opposition leaders? I mean all!

That said, I am just thinking



Hapo kwenye red colour wewe ni mmoja wao. Wewe kila ukiibuka unatuletea hii habari ya Zitto na kina Salim inavyoonyesha huna hoja nyingine. Kazi yako ni kuhubiri UDI NI huku ukivaa gamba la kuuchukia UDINI . Kwa hiyo Waislam hawawezi kuwa na ukaribu mpaka iwe ni UDINI.
 
wabes alistahili pongezi kwa post hii!... sio kwa sababu ya wachache ambao waliitumia kumtukana zito lakini ni kwasababu ilituelimisha sana sisi wengine ambao hatukuyajua mengi yaliyosemwa hapa!..

nasubiri kwa hamu sana hichi kitabu cha kina msando na zitto kuhusu kipindi chao cha daruso!...
 
Mimi nimekuwa nikimfuatilia mheshimiwa Zitto, tangu alipoongoza mapinduzi ya kupindua serikali ya DARUSO mwaka 2002/2003 wakisaidiana na Ridhwan Kikwete na Omar Ilyas. Kipindi hicho nikiwa mmoja wa mawaziri wa serikali, ambayo ilipona kupinduliwa. Na tumekuwa wote ndani ya bunge la UDSM-USRC

Mimi personally nimekuwa muwazi sana na mkweli katika kila kitu kinacholigusa taifa hili na hasa uhuru wa mawazo na maoni ambao umedhihirika kuwa watanzania wengi sio kuwa hawana, bali huwa wepesi sana kuamini mambo na ni waoga kuonekana wanapingana na hali iliyopo.

Mtazamo huu umenifanya nimpende Zitto na JF members wowote wale ambo huwa wanapenda kufikiria nje ya box, au another direction/angle. Zitto amekuwa akinifurahisha kwa kuleta changamoto za kuleta mawazo tofauti na kile ambacho wengi huwa wanafikiria.

Zitto ni kweli anapenda sifa, kama binadamu mwingine yeyote yule, ila unapotaka sifa kwa kusimamia haki na ukweli na hasa unapopigania haki basi sifa hii ni sifa timilifu na inapendeza. Omar Ilyas naye alikuwa mmoja wao wa wanaopenda sifa ila kwa sasa naona amekua kidogo, nadhani Salim A Salim amemkuza.

Si nia yangu niwaharibie hawa jamaa , ila ni hali yangu kueleza ninachowaza baada ya kuwafuatilia hawa watu tangu enzi hizo. Sijajua status ya Omar Ilyas kwenye issue nzima za udini, siwezi kumtuhumu, personally nimemuona ni mtu mzuri tu na anayependa wote pasi kujali udini ila bado ni rafiki wa Zitto!

Tuendelee: Role model wa Zitto ni Salim A. Salim, rais bora kwake yeye ni Kikwete, MD bora aliyewahi kumsema yeye ni Rashid Idrisa yule wa TANESCO.

Tie, cord, umoja, Urafiki wa Zitto, Ridhwan, Omar Ilyas ni mkubwa sana kuliko maelezo, hili group lililotaka kuipindua serikali ya Kayombo-DARUSO, ili wao wapate madaraka si tu ni la hatari bali la kuangaliwa sana. Ridhwan amekuwa akijitetea sana yeye anataka ku-practise sheria hili hali kutaka uongozi amekuwa akitamani tangu siku nyingi sana.

Ukiwa rafiki na Ridhwan umekuwa rafiki wa Kikwete!!! Huwezi kuwa adui wa JK ukawa rafiki wa Ridhwan, JK si tu anampenda Ridhwan kama motto, bali kama mwanaCCM mwenzie aliye tayari kulinda interest zao.

Si ajabu Zitto kuwa alikuwa mmoja wa wanakamati ya bunge ya kuchunguza madini, maana JK anampenda Zitto, ambaye ni rafiki wa Ridhwan!

Alichotamka Juzi ni mwendelezo wa kumuonyesha JK kuwa yuko ‘NAYE’ na yuko mbali na chadema na kuwa yeye hakuwa na mawazo kama wanachadema wengine!!!. Hakuishia hapo tu bali alisema JK amefanya mengi Kigoma! Hivyo hakuona sababu ya kutoka nje ya bunge, kwa hiyo hakwenda kabisa, Huu ujumbe haukuwa kwa wananchi, ulikuwa unaenda kwa JK rafiki yake! Hata kama JK kafanya mambo mengi huko jimboni kwake Kigoma ni wajibu wake kama rais na haikuwa zawadi.

Kilichonifanya nijiulize je what makes Zitto na JK kuwa marafiki? Je Zitto na JK walikuwa wanajuana kabla ya JK kuwa rais? Definitely Yes!

Je swali gumu na baya ambalo halina ushahidi ni je Zitto kuwa inclined kwa JK, Salim na kuwapenda baadhi ya viongozi wa kiislam je ni mdini?..........I mean chunguzeni hili. May be not! Kindly don’t conclude! What Salim teaches Zito?? Salim is CCM, is Salim and JK close friends? Cause Ommy and Zitto are close friends, Ooh! Ommy ni personal assistant wa Salim, Nauliza Kama Ridh, Zitto, Ommy ni marafiki then Salim and JK ni maadui? Find out please. However, we all know JK ni mdini, maana alianza harakati za udini tangu akiwa UDSM miaka hiyo….na hili fuatilieni

Nani anayejua Zitto ana mtambo wa kusaga kokoto na alipata tender ya barabara ku-supply kokoto? Is he defending his interest indirectly?

Au ni kuwa ni great thinker ambaye anaishi kwa falsafa zake ambazo hatuzijui! Je mnafikiri Zitto kuwaambia waandishi wa habari yaliyojiri ndani ya chadema alikuwa hajui watu watamrudi? Who is greater to him? JK, wananchi wake Kigoma, mali au?

I mean we should be careful na watu kama Zitto yes they are bright, mmh! But they might be dangerous for the opposition existence. But we should examine him carefully and not judge him. Nimegusia tu swala la uislam maana mpaka leo kuna baadhi ya waislamu wanaofikiri kuwa wanaiweza kuigawa nchi hii kidini, na kuna wakristo wanaofikiri wanaweza kuigawa nchi hii kidini.

That’s bringing another bitter question how far do we believe these opposition leaders? I mean all!

That said, I am just thinking

Huu ni uchambuzi ambao misingi yake imejikita kwenye uvumi ambao unaoendelea kwamba CHADEMA ibaki ya watu fulan na wanaotoka sehemu fulani. Ili kufanikisha kusudio hilo, watu wenye vision, great thinkers, committed people, or influencial ndani ya chadema ni lazima waundiwe hila na wafukuzwe ndani ya chama. Sioni leo kwa mtu mzima, msomi, mwenye uwezo mkubwa wa kufikiri achaguliwe watu wa kuongea nao. Mhe. Zitto, haongozwi na fikra za kufikirika bali anauelewa wa kutosha. Nani kasema SIASA ni UADUI (achilia mbali siasa za TZ). Marafiki wa Mhe. Zitto sio lazima watoke chama cha upinzania, sio lazima watoke kwenye familia ya watu fulani na hazuiliwi kuwa na urafiki na Mhe. RAIS, SALIM, MAMA SALMA NA WANAE na wengineo.

Mhe. Zitto kuwa karibu na Mhe. JK, sio matakwa ya Zitto pekee yake bali ni mshikamano wa pamoja na appreciation ya wananchi wa jimbo la kigoma kaskazini na kigoma kwa ujumla dhidi ya Rais wao kwa yale ambao wao wanaona kwa kipindi cha miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika ni Mhe. JK pekee kati ya marais wote waliopita ameweza kufanya mambo ya kuonekana ndani ya mkoa. Sisi wenyeji wa mkoa wa kigoma ndio tunaoujua ukweli kwamba kabla ya Mhe.JK kujenga miundo mbinu mipya na kuboresha iliyopo mkoa wa kigoma ulikuwa hautamaniki. Kabla ya barabara ya Mwandiga to Manyovu kujengwa mtu alikuwa anatumia saa 7 mpaka 8 kusafiri kutoka manyovu mpaka mwandiga, lakini baada ya kujengwa barabara hiyo watu wanasafiri kwa kutumia dk 25 mpaka 30. Fikiria hilo wenyeji wa sehemu hiyo watasemaje au utawaambia nini kuhusu kiongozi kama huyo aliyeleta neema kama hiyo? Mhe. Zitto, sisi kama wananchi wa kigoma tunamuomba aendelee kuwa karibu na Mhe. Rais ili ahidi alizotoa za kuleta maendeleo katika mkoa wa kigoma azitimize na tunaamini atafanya hivyo na dalili za kufanya hivyo zimeshaanza.

Wewe mwenyeji wa moshi, unafahamu adhaa ya kukosa barabara ya lami?wakati barabara za llami zipo kwenu tangu miaka na miaka mpaka huko kwenye remote area? Viwanda kwenye vimejazana kila kona na bado mnaona mikoa ya pembezoni ikisaidiwa basi viongozi wao mnawaita vibaraka na wanaotaka kuasi. Au mnataka kumfanya Mhe. Zitto kama mlivyomfanya Mhe. Daivid kafulira? Msipoangalia uchambuzi wa namna hii utawasadikisha watanzania kuhusu uvumi uliopo kwamba chadema ni chama cha ukanda na cha watu fulani kama mtaanza kuwabagua eti kwa kuwaita baadhi ya wanachama kuwa wana udini (Zitto mmesema), wanamafungamano na viongozi wa chama tawala na familia zao na n.k.

Kumbukeni, wananchi wa mkoa wa kigoma, kwao Mhe. Zitto na Mhe.Jk ni zaidi ya hayo mnayosema. Kigoma kuna upinzani, lkn upinzani haukuwepo kwa Rais bali kwa wabunge. Hawa wawili Mungu awajazie neema tele, awape busura zaidi ya hizo walizonazo, awape upendo wa kupenda walionyuma kimaendeleo na wao wapate maendeleo kama watanzania wenzao waliopata angalau maendeleo kidogo.

Mwisho, acheni chambuzi zenye mwelekeo wa kibaguzi na kuhalalisha agenda zilizofichika.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom