Original Pastor
JF-Expert Member
- Nov 14, 2007
- 1,274
- 50
Gari inauzwa Escudo Nomade ya Dark Green imeingia Dar kutoka Japan Date 26/11/2009 inauzwa imesajiliwa T 675 BED kwa mawasiliano zaidi piga 0713623575 Bei Inaanzia Milioni 15 mpaka Milioni 14. Picha Max atawawekea. Chini ya Hizo Bei Haiuzwi wala usipige simu kwani kuiona ni bure kabisa tafuta muda wako njoo uione ina Ngao ya Mbele, Nyuma pia kuna Ngao, Ina roof na pia ina kapete (pea tatu) tofauti yaani unaweza kukabadilisha mara tatu (pea) Tunahitaji watu waliokusiriasi na gari sio kuleta mzaaa. kama kweli upo interest utaitafuta hata picha huitaji au angalia mtandao wa TRA ujue imeingia lini fuata namba hapo juu. Haina tatizo lolote Ina Comprehesive ya Zanzibar Insurance. Inatembea, Pia haijawai kupata tatizo lolote ajali au kitu kingine na Unapewa miaka 10 warranty. wahii haraka. sio kutumia misuli bali kuna waheshimiwa wengine wanataka kujaribu watu wanaweza kukusumbua na gari waisichukue please usinikoti vibaya.Ina km 94,500 ya mwaka 1994 Capacity ya Engine ni CC-1590.Ina milango 5.