SOURCE: NIPASHE, November 23, 2014Kwenye front page ya gazeti hilo linaeleza kikao cha wabunge wa CCM ambao walishinikiza Jaji Werema ajiuzuru kwa uzembe wake wa kuidhinisha malipo ya ESCROW.Yeye aliwakatalia kwamba hatajiuzuru kwa sababu suala la ESCROW hata "bwana mkubwa analijua".Je, alikuwa na maana gani?