MADAM T
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,207
- 2,387
Umenichekesha lakiniWa Stanbic Bank hatujulikani, tume-save!
Umenichekesha lakiniWa Stanbic Bank hatujulikani, tume-save!
Kazi ipoNa kesi ya Sethi & Rugemalira itakapoanza kuunguruma mahakamani wote hao waliogawana pesa toka Stanibic na Mkombozi watafikishwa mahakamani aidha kama mashahidi wa upande wa serikali au kama watuhumiwa wenza.
Sasa hujui maana ya mtu kuwa na legal immunity?Sasa tukiwa wale wakubwa was serikali tulioambiwa tupumzike pia tutaenda mahakamani?
Urudishe bilioni moja na ushee kwa kuwa tu kyna mmoja karudisha milioni 40 kule ambapo hazikutoka? Ninachojua mtu kama Chenge hawezi kurudisha na hawatoweza kumfanya chochote.Tutarudisha tu Mkuu hakuna namna, jamaa kakaba mpaka kivuli
Muulize bashir awale ambaye Alikuwa mkurugenzi wa hiyo benki wakati zinatoka zikipotoka tu akapewa kazi ya kuzisimamia akiwa kiongozi wa kampeni wakati sio mtanzania. Wanaojua nani walichukua ni lowasa na huyo aliyekuwa meneja mkuu wa stanbic waulizeni maana pesa nyingi za escrow zilitumika kampeni za chadema kumsaidia lowasaNgeleja kaonyesha mfano! Kwa kuwa yeye ya kwake alichukulia mkombozi bank! Hivi wale wasiofahamika na waliochukulia Stanbic Bank watarudisha kweli?
Ehe eheeeee!. Wanaojua nani walichukua ni lowasa na huyo aliyekuwa meneja mkuu wa stanbic waulizeni maana pesa nyingi za escrow zilitumika kampeni za chadema kumsaidia lowasa