amakyasya
JF-Expert Member
- Jun 26, 2013
- 3,480
- 907
Tujiandae kwa misiba ya viongozi, pressure haitawaacha!
Kama ule msiba wa sugar dady wa Lulu!
Tujiandae kwa misiba ya viongozi, pressure haitawaacha!
Hahahahaha ngoja niwekeze huko sasa naona ndiko kutakakokua na mautajiriMahakama "zitafurika" vitambi
Pressure ni kubwa na ni swala la muda tu. Nguvu ya uvundo inakaribia ya Tsunami na kumbukeni Tsunami haizuiliki. Ni kama radi, ukishaona tu mwanga, kaa tayari kwa ngurumo...kuweka pamba masikioni hakusaidii.100% ni Kheri Wafe kwa Pressure Kwa maana Masikini Walalahoi Wanakufa kwa Mafua tu baada ya Kukosa hata Confline... Ebu na wafe wala hatutasikitika sana.
Jamani hebu waacheni wenzenu wapumue hili halijesha bado tena unakumbushia na hili mkuuSanteee mkuu tena hata miaka ya baadae itabidi tuulize nyerere alikufaje na afukuliwe ili tumpime upya tuone
Jamani hebu waacheni wenzenu wapumue hili halijesha bado tena unakumbushia na hili mkuu
Nimepenyezewa taarifa na mnene mmoja wa Stanbic kuwa Viongozi waandamizi wa Stanbic Bank huko majuu wanakaribia kuchafua tena hewa ya nchi.Waandamizi hao wameagiza kuanikwa kwa majina ya waliochota malumbesa ya fedha za Escrow. Wamewaagiza wakuu wa hapa Tanzania kuhakikisha ifikapo Aprili mosi mwaka huu,majina hayo yawe public pamoja na mihamala yao ili kusafisha taswira ya Stanbic.
Ukisikia kusafisha hapa na kuchafua pale ndio huku.Siombi hilo litokee.Hawa wa Mkombozi Bank aka wa Rugemalira wametuhenyesha hivi.Wa Stanbic itakuwaje? Stanbic Bank,please and please, re-think and re-decide. Tumechoka!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
...hawa paka na panya wa aina hii mwisho wao uko njiani mkuu....hakika ni suala la mda tu....watu wako kazini...haya mambo wala yanaweza yasifanyiwe kazi mwaka huu...ila yataibuka hata baada ya miaka...na hawa mchwa watajibu tu..hata kama watakua wamekimbia nchi na family zao.....siku hizi dunia hii ni kijiji...ukiiba utakamatwa tu......Pressure ni kubwa na ni swala la muda tu. Nguvu ya uvundo inakaribia ya Tsunami na kumbukeni Tsunami haizuiliki. Ni kama radi, ukishaona tu mwanga, kaa tayari kwa ngurumo...kuweka pamba masikioni hakusaidii.
Uhusiano wa huyu mtoaji na hawa wapokeaji ulitakiwa uwe kama wa panya na paka lakini masikini Tanzania...paka na panya wameshibana utadhani ni ndugu wa kuzaliwa! Anyway pole pole tutafika, a luta continua!
Stanbic wamevujisha kwa wafadhili hasa USA ili kulinda credit yake kwao ila kwa hapa bongo si rahisi...
JK heri angeachana na hizi double standards zinamzalilisha Sana mbele ya hawa wazungu coz wanaelewa kila kitu ndio maana wamemkazia Uzi mpaka sasa serikali iko hoi kifedha....
Haiwezekani Tibaijuka na Maswi waondolewe ofisini halafu akina Gurumo wabakie ofisini kwa kesi ile ile...
Siku majina ya Stanbic yakiwekwa hadharani hakuna jiwe litakalosalia juu ya jiwe.....
Kwa hiyo misaada tutaisikia kwa wenzetu tu? Lakini on serious note,inawezekanaje Tibaijuka et all uwatimue halafu hao wenye mapesa kila mfuko wa suruali tena wakiwa wafanyakazi wa Ikulu ufanye kama vile hakuna kitu? Hivi kweli hata hao Wazungu hata kama ndio kuwadanganya kuwa umechukua hatua nani atakuamini?
Naomba wasintaje
Mimi nilikuwa na akaunti yangu STANBIK ilibidi niifunge mara moja siwezi kufanya dhambi na wezi.Naomba na watanzania wenzangu tuige mfano huo.
Nimepenyezewa taarifa na mnene mmoja wa Stanbic kuwa Viongozi waandamizi wa Stanbic Bank huko majuu wanakaribia kuchafua tena hewa ya nchi.Waandamizi hao wameagiza kuanikwa kwa majina ya waliochota malumbesa ya fedha za Escrow. Wamewaagiza wakuu wa hapa Tanzania kuhakikisha ifikapo Aprili mosi mwaka huu,majina hayo yawe public pamoja na mihamala yao ili kusafisha taswira ya Stanbic.
Ukisikia kusafisha hapa na kuchafua pale ndio huku.Siombi hilo litokee.Hawa wa Mkombozi Bank aka wa Rugemalira wametuhenyesha hivi.Wa Stanbic itakuwaje? Stanbic Bank,please and please, re-think and re-decide. Tumechoka!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Tuliowatuma watu je majina yetu lkn hatukuenda cc inakuwaje
Mzee Tupatupa nasikia ndugu zako walikorofisha CCTV ya hapa stanbic bongo na kuchezea mitambo ila sauzi walidaka kila kitu sijui mtaponea wapi? tunasubiri agizo moja la bunge kuitangaza benki ya stanbic kuwa ni "money laundering concern" unadhani watakubali wasauzi kutolewa kafara? lazima wafe na mtu.Na msipotekeleza maagizo yote ya bunge basi msahau kabisa fedha za wafadhili.Nimepenyezewa taarifa na mnene mmoja wa Stanbic kuwa Viongozi waandamizi wa Stanbic Bank huko majuu wanakaribia kuchafua tena hewa ya nchi.Waandamizi hao wameagiza kuanikwa kwa majina ya waliochota malumbesa ya fedha za Escrow. Wamewaagiza wakuu wa hapa Tanzania kuhakikisha ifikapo Aprili mosi mwaka huu,majina hayo yawe public pamoja na mihamala yao ili kusafisha taswira ya Stanbic.
Ukisikia kusafisha hapa na kuchafua pale ndio huku.Siombi hilo litokee.Hawa wa Mkombozi Bank aka wa Rugemalira wametuhenyesha hivi.Wa Stanbic itakuwaje? Stanbic Bank,please and please, re-think and re-decide. Tumechoka!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam