Mwaka2015, kwenye moja ya habari kubwa gazeti la Mwananchi, KAFULILA alipohojiwa kuhusu source wa hoja na nyaraka zake alimtaja Richard Mgamba, ambaye sasa ni Mhariri wa GUARDIAN wakati huo akiwa CITIZEN, Jana bandiko reefu la Zitto amesema ni yeye. Tunashindwa kujua source wakweli wa taarifa alizotumia Mhe KAFULILA kulipua bungeni alikuwa ni Zitto au Mgamba?