Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,466
- 113,548
Wanabodi,
Preamble
Mtu mwenye akili na mwenye busara, anapojikwaa na kuanguka, anaangalia mahali alipojikwaa, ili kuipata sababu iliyomfanya ajikwae na kuanguka, badala ya kuangalia alipoangukia tuu, anaamka na kuendelea na safari yake, hivyo huko mbele atakuja kujikwaa tena pale pale alipojikwaa mwanzo na kuanguka tena na tena!".
Fedha za escrow account ni matokeo tuu sio chanzo, tena fedha zenyewe ni kiduchu tuu ukilinganisha na fedha zote zinazomezwa na hili lidudu li IPTL, lakini watu wanashupalia matokeo badala ya kujiuliza chanzo!. Huu kama sio ujinga, yaani ignorance, ni nini hiki?!.
Watanzania ni Ignorants; yaani Sisi Watanzania ni Wajinga?
Mtanisamehe sana kwa kuanza huu mjadala kwa maneno makali, kuwa sisi Watanzania tulio wengi ni "ma-ignorants!", yaani wengi wetu ni watupu kabisa vichwani mwetu au ni weupe tii!, na wengine wetu ni vichwa maji kabisa!, uwezo wa kufikiri "logical thinking", wa wengi wetu ni mdogo au sifuri, ndio maana hatuna uwezo wa kufanya maamuzi sahihi ya maana, "to make informed decisions", hali inayopelekea, tunapelekwa pelekwa tuu kama ling'ombe au mazuzu!, kiasi kwamba, wengi wetu tunashabikia zaidi na kushupalia vitu vidogo vidogo ambavyo ni non issues, na immaterial, ambazo sio chanzo bali ni matokeo tuu, badala ya kudeal na issues halisi zenyewe ambazo ndicho chanzo, cha haya madhila, kilichopelekea haya yatokanayo, yatokee, vyanzo haviuliziwi, havishungulikiwi, havizungumzwi!, haviguswi!, tuna deal na matokeo tuu!, huu kama sio ujinga ni nini?.
Ujinga Huu wa Watanzania, Kutojiuliza Chanzo cha Tatizo Umeanzia Wapi na Uko Wapi?
Hii ignorance ya Watanzania ina cut across society yetu na ku reflect ndani ya kila sekta ya jamii yetu kuanzia ndani ya familia zetu, mitaa yetu, vitongoji vyetu, vyama vyetu, hadi ndani ya Bunge letu tukufu, tuna wabunge mule ni vilaza na ma ignorants wa ajabu hakuna mfano!, tuna viongozi wetu wengi tuu ni ma ignorants hadi ndani ya cabinet yetu kuna mawaziri ni ma ignorants kabisa!, uthibitisho ni jinsi mawaziri wetu wanavyotimuliwa kila ukicha, from time to time!, tuna viongozi wa taasisi za umma ambao ni ma ignorants na jambo kubwa na la ajabu, tuna hadi viongozi wetu wakuu wa taasisi nyeti hadi wakuu wa vyombo vya dola, ambao nao ni ma ignorants tuu kama ma ignorants wengine, na sisi wana jf pia, wengi wetu ni ma ignorants tuu, nikiwemo mimi mwana JF, mwenzenu Paskali, pia ni ignorant!, tofauti kati ignorance yangu na ma ignorants wengine, mimi ni ignorant ambaye ninajitambua kuwa ni ignorant , hivyo pamoja na ignorance uliyonayo ukiisha jitambua na kuusema ujinga, unakitoka, lakini wengi wa ma ignorants wenzetu, hukaa kimya, hivyo kuificha hiyo ignorance yao, lakini sisi ambao kwa bahati mbaya sana, hatukujaliwa aibu ya kuogopa kuongea, tunaongea wazi wazi hivyo tunaionyesha hiyo ignorance yetu kwa uwazi kabisa kwa ku speak out our minds and expressing our opinions ignorantly.
Je, Ujinga Huu ni Mtaji?
Yes ujinga ni mtaji!. Ni kufuatia ignorance hii, Chama cha Mapinduzi, (CCM), kimekuwa kinaitumia ignorance hii ipasavyo kwa kuifanya ndio mtaji wake wa kupatia kura ubwete za ushindi, mwaka hadi mwaka, na mwakani tutaichagua tena CCM kwa kuipa ushindi wa kishindo!.
Kwa Nini Mtu Uwaite Watanzania Wenzako Kuwa ni Wajinga?
Naomba kuweka wazi kuwa kwenye bandiko hili, sijatukana mtu, wala sijawaita watu ni wajinga, bali nimeuliza tuu swali kuwa, Jee Sisi Watanzania ni Wajinga?. Majibu ya swali hili ndiyo yatakayosema kama sisi ni ma ignorants au la!, kama ni ma ignorants, huu ujinga wetu ni ujinga wa aina gani au tumelogwa?. Maswali haya ni kufuatia kujiuliza, haiwezekani kabisa, kwa watu wenye akili zao timamu, wakafanyiwa mambo ya ovyo ya ajabu ajabu kama haya, lakini inapofikia wakati wa kuwapima hao waliowachagua, bado wakawachagua watu wale wale, chama kile kile, na baadae kuja kufanyiwa madudu yale yale!.
Jee Hali Ilikuwa Hapo Mwanzo, Ukilinganisha na Hali Ikoje Sasa?
Wakati tulipopata uhuru toka kwa mkoloni, Tanzania tulikuwa na maadui wakuu watatu, ujinga, umasikini na maradhi, lakini hadi leo miaka zaidi ya 50 baada ya uhuru, sio tuu, bado tunao wale maadui wakuu watatu bali sasa, ujinga umeongezeka mara dufu!, umasikini sasa ni uliotopea!, na maradhi yamezidi hadi mengine ni janga la taifa kwa sababu hayana tiba!. Kila siku ni afadhali ya jana!. Wazee wa sasa wanasema, hali ilivyo sasa ni mbaya hadi kujiona zamani enzi za mkoloni ni afadhali kuliko sasa!. Kitu kibaya zaidi, ni sasa tumeongeza idadi ya maadui wakuu, wakiwemo rushwa na ufisadi, ambapo mazao yake ni pamoja na DCP, Deep Green, Meremeta, TanGold, Alex Stewart, EPA, Richimond, na sasa Escrow.
Uzuri wa Watanzania ni Upi Katika Kukumbatia Umasikini, Ujinga, Maradhi, Rushwa na Ufisadi
Kitu kizuri cha ajabu kuhusu sisi Watanzania ni kujifanya kupiga kelele sana as if tunauchukia umasikini, ujinga, maradhi, rushwa na ufisadi, lakini sisi wale wale, mwaka hadi mwaka, tunawachagua watu wale wale, chama kile kile, sera zile zile, tukitegemea matokeo tofauti!, hii ni nini kama sio ignorance at the highest levels?!. Keshokutwa tunawapa serikali za mitaa!, mwezi April tuna wapitishia ile "Bora Katiba" kwa kura za ndio za kutosha, na zisipotosha "zitatosheshwa!",na October, 2015, tunamalizia kazi, kwa kuirudisha CCM kwa ushindi wa kishindo!.
Ignorance Kwenye Mjadala wa Escrow
Ignorance hii imejidhihiri wazi kwenye huu mjadala wa Escrow unao endelea sasa, ambapo wengi wetu, tumejikita kwenye issue ya fedha za Escrow tuu, ambayo sio a very big deal!, fedha ya escrow ni matokeo tuu ya hili jinamizi linaloitwa IPTL!, hakuna anayezungumzia chanzo, na hiyo pesa iliyokuwa inawekwa kwenye hiyo account ya escrow ni fedha ndogo ya capacity charges only, bado Tanesco inalipa mabilioni kwa mabilioni ya kulipia Utilities huko huko IPTL, Aggreko, Simbion, Songas!, badala ya watu kujadili chanzo, na kwa nini tumefika hapa, wao wanajadili matokeo tuu!. Hii kama sio ignorance ni nini?!.
Kwanini Tufanye Cherry Picking Kwenye Kutafuta Mbuzi wa Kafara?!.
Katika kuwabaini wahusika, wa hili jinamizi la Esscrow, badala ya kuwatafuta wahusika wakuu waliosababisha tufike hapa, watu wanafanya "cherry picking ya kumchagua huyu na yule, na kumuepusha yule na yule ili mradi tuu apatikane "mbuzi wa kafara!", na miongoni mwa wahusika, sijaisikia kabisa BOT ikitajwa tajwa, simply kwa sababu yeye ni dalali tuu!. Kama escrow ni account ya ubia kati ya serikali na IPTL, BOT ililipaje zile pesa kwa PAP ambaye has got nothing to do with account hiyo kabla ya kwanza kujiridhisha?!.
Je, Escrow Ndio Issue Sana Kivile? Au Issue ni IPTL? Mbona Mnashupalia Matokeo Badala ya Chanzo?!
Escrow sio issue sana kivile!, escrow ni matokeo tuu, issue yenyewe haswa ni IPTL, ilikujaje, ilipitaje, ilikubalikaje kutuwekea mitambo chakavu ya mtumba, inayotumia obsolete technology?, ilikubalikaje na kupitishwaje bila ripoti ya EIA?. Sisi kama Taifa, tulikubalije kutozwa capacity charges za kiasi kile kwa mitambo ile?!, hii kama sio ignorance ni nini?!.
Kwanini Watu Wanataja Taja Tuu Majina? Huu Kama Sio Ujinga ni Nini?!
Watu wanataja taja tuu majina!, wananyooshea watu vidole!, wanawapigia kelele waliolipwa na JR tuu, waliolipwa na PAP wao wako wapi?, Walioileta IPTL wako wapi?, hii ni nini kama sio ignorance?!, au tumelogwa?!. Tunapaswa kuwatafuta responsible people tangu hili jinamizi la IPTL limekuja nchini, tuwawajibishe!, na sio kutafuta mbuzi wa kafara, au kama kawaida yetu, tufunike kombe mwanaharamu apite!".
Paskali
Preamble
Mtu mwenye akili na mwenye busara, anapojikwaa na kuanguka, anaangalia mahali alipojikwaa, ili kuipata sababu iliyomfanya ajikwae na kuanguka, badala ya kuangalia alipoangukia tuu, anaamka na kuendelea na safari yake, hivyo huko mbele atakuja kujikwaa tena pale pale alipojikwaa mwanzo na kuanguka tena na tena!".
Fedha za escrow account ni matokeo tuu sio chanzo, tena fedha zenyewe ni kiduchu tuu ukilinganisha na fedha zote zinazomezwa na hili lidudu li IPTL, lakini watu wanashupalia matokeo badala ya kujiuliza chanzo!. Huu kama sio ujinga, yaani ignorance, ni nini hiki?!.
Watanzania ni Ignorants; yaani Sisi Watanzania ni Wajinga?
Mtanisamehe sana kwa kuanza huu mjadala kwa maneno makali, kuwa sisi Watanzania tulio wengi ni "ma-ignorants!", yaani wengi wetu ni watupu kabisa vichwani mwetu au ni weupe tii!, na wengine wetu ni vichwa maji kabisa!, uwezo wa kufikiri "logical thinking", wa wengi wetu ni mdogo au sifuri, ndio maana hatuna uwezo wa kufanya maamuzi sahihi ya maana, "to make informed decisions", hali inayopelekea, tunapelekwa pelekwa tuu kama ling'ombe au mazuzu!, kiasi kwamba, wengi wetu tunashabikia zaidi na kushupalia vitu vidogo vidogo ambavyo ni non issues, na immaterial, ambazo sio chanzo bali ni matokeo tuu, badala ya kudeal na issues halisi zenyewe ambazo ndicho chanzo, cha haya madhila, kilichopelekea haya yatokanayo, yatokee, vyanzo haviuliziwi, havishungulikiwi, havizungumzwi!, haviguswi!, tuna deal na matokeo tuu!, huu kama sio ujinga ni nini?.
Ujinga Huu wa Watanzania, Kutojiuliza Chanzo cha Tatizo Umeanzia Wapi na Uko Wapi?
Hii ignorance ya Watanzania ina cut across society yetu na ku reflect ndani ya kila sekta ya jamii yetu kuanzia ndani ya familia zetu, mitaa yetu, vitongoji vyetu, vyama vyetu, hadi ndani ya Bunge letu tukufu, tuna wabunge mule ni vilaza na ma ignorants wa ajabu hakuna mfano!, tuna viongozi wetu wengi tuu ni ma ignorants hadi ndani ya cabinet yetu kuna mawaziri ni ma ignorants kabisa!, uthibitisho ni jinsi mawaziri wetu wanavyotimuliwa kila ukicha, from time to time!, tuna viongozi wa taasisi za umma ambao ni ma ignorants na jambo kubwa na la ajabu, tuna hadi viongozi wetu wakuu wa taasisi nyeti hadi wakuu wa vyombo vya dola, ambao nao ni ma ignorants tuu kama ma ignorants wengine, na sisi wana jf pia, wengi wetu ni ma ignorants tuu, nikiwemo mimi mwana JF, mwenzenu Paskali, pia ni ignorant!, tofauti kati ignorance yangu na ma ignorants wengine, mimi ni ignorant ambaye ninajitambua kuwa ni ignorant , hivyo pamoja na ignorance uliyonayo ukiisha jitambua na kuusema ujinga, unakitoka, lakini wengi wa ma ignorants wenzetu, hukaa kimya, hivyo kuificha hiyo ignorance yao, lakini sisi ambao kwa bahati mbaya sana, hatukujaliwa aibu ya kuogopa kuongea, tunaongea wazi wazi hivyo tunaionyesha hiyo ignorance yetu kwa uwazi kabisa kwa ku speak out our minds and expressing our opinions ignorantly.
Je, Ujinga Huu ni Mtaji?
Yes ujinga ni mtaji!. Ni kufuatia ignorance hii, Chama cha Mapinduzi, (CCM), kimekuwa kinaitumia ignorance hii ipasavyo kwa kuifanya ndio mtaji wake wa kupatia kura ubwete za ushindi, mwaka hadi mwaka, na mwakani tutaichagua tena CCM kwa kuipa ushindi wa kishindo!.
Kwa Nini Mtu Uwaite Watanzania Wenzako Kuwa ni Wajinga?
Naomba kuweka wazi kuwa kwenye bandiko hili, sijatukana mtu, wala sijawaita watu ni wajinga, bali nimeuliza tuu swali kuwa, Jee Sisi Watanzania ni Wajinga?. Majibu ya swali hili ndiyo yatakayosema kama sisi ni ma ignorants au la!, kama ni ma ignorants, huu ujinga wetu ni ujinga wa aina gani au tumelogwa?. Maswali haya ni kufuatia kujiuliza, haiwezekani kabisa, kwa watu wenye akili zao timamu, wakafanyiwa mambo ya ovyo ya ajabu ajabu kama haya, lakini inapofikia wakati wa kuwapima hao waliowachagua, bado wakawachagua watu wale wale, chama kile kile, na baadae kuja kufanyiwa madudu yale yale!.
Jee Hali Ilikuwa Hapo Mwanzo, Ukilinganisha na Hali Ikoje Sasa?
Wakati tulipopata uhuru toka kwa mkoloni, Tanzania tulikuwa na maadui wakuu watatu, ujinga, umasikini na maradhi, lakini hadi leo miaka zaidi ya 50 baada ya uhuru, sio tuu, bado tunao wale maadui wakuu watatu bali sasa, ujinga umeongezeka mara dufu!, umasikini sasa ni uliotopea!, na maradhi yamezidi hadi mengine ni janga la taifa kwa sababu hayana tiba!. Kila siku ni afadhali ya jana!. Wazee wa sasa wanasema, hali ilivyo sasa ni mbaya hadi kujiona zamani enzi za mkoloni ni afadhali kuliko sasa!. Kitu kibaya zaidi, ni sasa tumeongeza idadi ya maadui wakuu, wakiwemo rushwa na ufisadi, ambapo mazao yake ni pamoja na DCP, Deep Green, Meremeta, TanGold, Alex Stewart, EPA, Richimond, na sasa Escrow.
Uzuri wa Watanzania ni Upi Katika Kukumbatia Umasikini, Ujinga, Maradhi, Rushwa na Ufisadi
Kitu kizuri cha ajabu kuhusu sisi Watanzania ni kujifanya kupiga kelele sana as if tunauchukia umasikini, ujinga, maradhi, rushwa na ufisadi, lakini sisi wale wale, mwaka hadi mwaka, tunawachagua watu wale wale, chama kile kile, sera zile zile, tukitegemea matokeo tofauti!, hii ni nini kama sio ignorance at the highest levels?!. Keshokutwa tunawapa serikali za mitaa!, mwezi April tuna wapitishia ile "Bora Katiba" kwa kura za ndio za kutosha, na zisipotosha "zitatosheshwa!",na October, 2015, tunamalizia kazi, kwa kuirudisha CCM kwa ushindi wa kishindo!.
Ignorance Kwenye Mjadala wa Escrow
Ignorance hii imejidhihiri wazi kwenye huu mjadala wa Escrow unao endelea sasa, ambapo wengi wetu, tumejikita kwenye issue ya fedha za Escrow tuu, ambayo sio a very big deal!, fedha ya escrow ni matokeo tuu ya hili jinamizi linaloitwa IPTL!, hakuna anayezungumzia chanzo, na hiyo pesa iliyokuwa inawekwa kwenye hiyo account ya escrow ni fedha ndogo ya capacity charges only, bado Tanesco inalipa mabilioni kwa mabilioni ya kulipia Utilities huko huko IPTL, Aggreko, Simbion, Songas!, badala ya watu kujadili chanzo, na kwa nini tumefika hapa, wao wanajadili matokeo tuu!. Hii kama sio ignorance ni nini?!.
Kwanini Tufanye Cherry Picking Kwenye Kutafuta Mbuzi wa Kafara?!.
Katika kuwabaini wahusika, wa hili jinamizi la Esscrow, badala ya kuwatafuta wahusika wakuu waliosababisha tufike hapa, watu wanafanya "cherry picking ya kumchagua huyu na yule, na kumuepusha yule na yule ili mradi tuu apatikane "mbuzi wa kafara!", na miongoni mwa wahusika, sijaisikia kabisa BOT ikitajwa tajwa, simply kwa sababu yeye ni dalali tuu!. Kama escrow ni account ya ubia kati ya serikali na IPTL, BOT ililipaje zile pesa kwa PAP ambaye has got nothing to do with account hiyo kabla ya kwanza kujiridhisha?!.
Je, Escrow Ndio Issue Sana Kivile? Au Issue ni IPTL? Mbona Mnashupalia Matokeo Badala ya Chanzo?!
Escrow sio issue sana kivile!, escrow ni matokeo tuu, issue yenyewe haswa ni IPTL, ilikujaje, ilipitaje, ilikubalikaje kutuwekea mitambo chakavu ya mtumba, inayotumia obsolete technology?, ilikubalikaje na kupitishwaje bila ripoti ya EIA?. Sisi kama Taifa, tulikubalije kutozwa capacity charges za kiasi kile kwa mitambo ile?!, hii kama sio ignorance ni nini?!.
Kwanini Watu Wanataja Taja Tuu Majina? Huu Kama Sio Ujinga ni Nini?!
Watu wanataja taja tuu majina!, wananyooshea watu vidole!, wanawapigia kelele waliolipwa na JR tuu, waliolipwa na PAP wao wako wapi?, Walioileta IPTL wako wapi?, hii ni nini kama sio ignorance?!, au tumelogwa?!. Tunapaswa kuwatafuta responsible people tangu hili jinamizi la IPTL limekuja nchini, tuwawajibishe!, na sio kutafuta mbuzi wa kafara, au kama kawaida yetu, tufunike kombe mwanaharamu apite!".
Paskali
Nianze na hili Angelico: Mie sio mshabiki wa Pasco na wala sikubaliani naye katika mijadala mingi.
Tujikite hasa katika ujumbe aliouandika bila kujali amesoma kiasi gani, namna ya uandishi wake na mengine yahusiano na mapungufuku yake Kitaaluma. Sote tukiri kwamba elimu yetu chini ya CCM imekuwa ikishuka ubora Kadri miaka inavyokwenda mpaka sasa watoto wetu wana pata "bora elimu".
Hakuna mahali aliposema tuachane na issue ya Escrow mbele yetu.
Nilivyomwelewa ujumbe wake ni kwamba tukishafanya hii short term decision ya kuadhibu wezi wa escrow, tusiishie hapo tukidhani tatizo limetatuliwa. Tuende mbali zaidi na kuchunguza kwa undani chanzo cha IPTL. Hivi sasa tunavyojadili kuna watoto wa IPTL ambao wamekomaa mfano Aggreko, songas, Richmond (aliyevunja ungo kuwa Dowans aliyejifungua Symbion).
Wote hao wanalipwa na Tanesco millions of dollars kila kukicha.hii ya Escrow inawatisha Watanzania kwa kuwa ni large amount accumulated over 10 years. Anachosema Pasco ujinga wetu hakuna hata mmoja bungeni, wanasiasa na media anayehoji kwa undani zaidi hili suala la Energy security na future yake.
Kutokana na uzoefu wake hapo Tanzania ukijumuisha na ufahamu wake wa hili tatizo anachosema Pasco (atanisahihisha) njia pekee ya kuanza kutatua ni kwa kuitoa CCM madarakani, period. Namna ya kuweza kuitoa madarakani bila kuacha nchi isiparanganyike kwa scars za kudumu ni kupitia Sanduku la Kura siku ya uchaguzi.
Tunafahamu wajinga wapo kila nchi sema kwa Tanzania (tofauti na nchi zilizoendelea) ujinga umeota mizizi katika kundi la "waliosoma".Hawa wasomi wanaonyesha ujinga wao pale wanaposhindwa kujipanga na kuitoa ccm madarakani kipindi uchaguzi unapofika. Mifano hai aliyoiongelea ni hizi chaguzi zinazokuja hapa mbeleni. Kura zinapigwa na zinaibiwa au kutosheshwa na wasomi Hawa wanabaki kulalama kama hivi sasa.
Sasa Pasco anapojaribu kusema tatizo ni sisi, tunamchukia na kusema mchumia tumbo. Nani huyo aishie nje ya Tz asiyemchumia tumbo? (Asiejali zaidi familia yake binafsi kupata huduma nzuri za afya na elimu bora).
Tanzania itabadilika pale tu wasomi wanaojali na kuheshimu utu watakaposhirikiana na likeminded citizens kuiondoa ccm madarakani.
Tujifunze kwa Waingereza, PM Winston Churchill pamoja na kuipigania UK kuishinda Germany kuonyesha strong leadership lakini ilipofikia uchaguzi wananchi walimpiga chini. Walitambua different challenge ya ku rebuild UK requires different way of thinking and mentality. Churchill standing haijawa undermined whatsover. Nas hatuna budi kuwaambia ccm sawa ukombozi umepita sasa ni challenges nyingine.
Nawasilisha.