Interested Observer
JF-Expert Member
- Mar 27, 2006
- 2,660
- 3,043
Kwa mwandishi wa habari na mtu ambaye unadai umesoma sheria UDSM, sijawahi kuona mwandishi mbovu kama wewe!
Kanuni nyepesi tu za uandishi zinakushinda. Mjinga nambari moja utakuwa ni wewe.
Unaweka alama za nukuu hata pasipotakiwa. Unarudia rudia maneno yaleyale uliyoyaandika katika lugha moja na kuyaandika katika lugha ingine.
Hivi una matatizo gani wewe?
Pasco is a dickhead! Pretender,