Lowasa 2015
Member
- Nov 21, 2014
- 9
- 1
Nimeona vyema niwaulize wenzangu wenye maono ya kujua siri za watu hata kama wenye siri wao hawajui lolote. Ni huyu huyu Lowassa ndiye aliyesemekana yeye ni muhusika mkuu wa kashfa ya Richmond na kwa ujumla ni kampuni yake Kwa mbwebwe zilivyo chambuliwa Herufi za Jina lake na la mwanae kuonyesha namna uhusika wake ulivyo. Mwanaume wa siasa aliamua kujiuzuru Uwaziri Mkuu. Kwa masrahi ya umma. Lakini kumbe ilikuwa ni maslahi ya baadhi ya watu waliogopa nguvu zake za kisiasa jinsi zilivyo kuwa zinatishia za wengine hasa ktk wakari huu wa kinyang'anyiro cha urais. Napata wasiwasi juu U dhamira wa kisisa za upinzani uliopo ktk chama cha CHADEMA. Nikirejea ktk Suala hili jinsi ilivyokuwa kwa viongozi waandamizi wa chadema namna walivyo tuaminisha kuwa Richmond ni E l. Jina likabadirishwa na likawa Dowans Nayo hali ikawa mbaya sana tuandamane tu ndiyo suruhisho watuue hatukubali. Mashine zikapata jina Lingine na kuitwa Simbion Kwa Fist Lady Hilali Crinton kuja rasmi kufanya ufunguzi wa mitambo hiyo kuanza kazi ile ile ilivyo kuwa kwa Richmond. Dowans. Ya kutuuzia umeme ktk grid ya taifa hapa sasa kila aliyekuwa mwenye kiherere Aliufyata mdomo. Kulikoni hawakutuambia kuwa hii ndiyo ilikuwa Suruhisho la Richmond. Dowans. Sasa ni wakati umefika kila alitesema Lowassa ni Fisadi kwa akijili ya kashfa ya Richmond Leo lazima ajisahihishe kwa hili ashiriki kumsafisha kama walivyo shiriki viongozi wetu wa taifa na dunia kumsafisha kwa kucheza mpira wa umeme ktk mitambo ile iliyo ligharimu taifa letu kumkosa waziri wetu mkuu Lowassa kufikia hatua ya kujiuzuru. Ya Escrow tunawaachia wenye meno watafunane 2015 tutakuja sikia sauti ya mnyonge ikisikilizwa mbele ya haki.