Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Kushtakiwa kwa Sethi na Rugemalira huku baadhi ya wamiliki wa IPTL kama Simba Trust hawaguswi ni majibu mepesi kwa maswali magumu
Escrow account tunaambiwa ilikuwa na $250 mill lakini zilizolipwa ni $122.1 mill zilizobakia jumla ya 127.9 mill ni nani walilipwa na kwa maelekezo ya nani?
Hivi kutoa na kupokea rushwa si ni jinai tu sasa inakuwaje "baadhi" tu ya waliotoa rushwa washughulikiwe lakini waliopokea rushwa walindwe? Selective justice hupelekea kesi kufutwa kwa ubaguzi na " misjoinder of the accused."
Waliopokea rushwa hawawezi kuwa mashahidi bali watuhumiwa.
Hata kama SIMBA TRUST na wale waliohongwa wakifunguliwa kesi tofauti na hii ya akina Sethi na Rugemalira ni kuzidhoofisha kesi hizo zote kwa sababu tukio, muda na makosa ni yale yale
Naona ni reality TV ndiyo inaendelea
Escrow account tunaambiwa ilikuwa na $250 mill lakini zilizolipwa ni $122.1 mill zilizobakia jumla ya 127.9 mill ni nani walilipwa na kwa maelekezo ya nani?
Hivi kutoa na kupokea rushwa si ni jinai tu sasa inakuwaje "baadhi" tu ya waliotoa rushwa washughulikiwe lakini waliopokea rushwa walindwe? Selective justice hupelekea kesi kufutwa kwa ubaguzi na " misjoinder of the accused."
Waliopokea rushwa hawawezi kuwa mashahidi bali watuhumiwa.
Hata kama SIMBA TRUST na wale waliohongwa wakifunguliwa kesi tofauti na hii ya akina Sethi na Rugemalira ni kuzidhoofisha kesi hizo zote kwa sababu tukio, muda na makosa ni yale yale
Naona ni reality TV ndiyo inaendelea