mambomengi
JF-Expert Member
- May 16, 2009
- 829
- 242
Kwenye hii katiba yetu inasema watakachoamua baraza la mawaziri hakitapingwa Mahakamani. Kwa kuwa baraza la mawaziri linaongozwa na Rais, basi by implication hakuna mwenye mamlaka ya kuhoji teuzi za Rais. Hio ndio katiba yetu kama tutapata nafasi ya kuirekebisha basi tuiandike ili makosa haya au mianya hii isitokee tena.