Erolink arobaini yao imefika, sasa wamepigwa chini

Dazzle 2

Senior Member
Oct 9, 2015
125
71
Hawa jamaa walikuwa wanajifanya miungu wangu wasiojali wala kuwa na ubinadamu wowote.

Wakifikiri kazi zitadumu milele. Wametuibia sana, michango yetu ya katika mifuko ya jamii walikuwa hawapeleki kwa wakati bali walikuwa wanazungusha pesa zetu hadi udai ndio wanakuwekea. Ukiumwa hawalijui hilo wala ukiuguza.

Kuna wakati walimpa ruhusa mwezetu kumpeleka mama yake India kutibiwa aliporudi wakamfukuza kazi eti kapitisha muda na ukweli ni jinsi matibabu yalivyokuwa magumu, wamefukuza watoto kwa chuki za kijinga, HR wamekuwa wakidhulumu masaa ya wakufanya kazi ya staff, ngono ndio usiseme, wamekula bonus za staff hadi kichefuchefu bila kujua yuko Mungu.

Arobaini yao imefika sasa wamepigwa chini na wamepoteza wafanyakazi takribani wote wa call centre na kuchukuliwa na muajiri mwingine.

Dhuluma huchuma dhambi, nendeni mkaanze upya.
 
Hawa jamaa walikuwa wanajifanya miungu wangu wasiojali wala kuwa na ubinadamu wowote. Wakifikiri kazi zitadumu milele. Wametuibia sana, michango yetu ya katika mifuko ya jamii walikuwa hawapeleki kwa wakati bali walikuwa wanazungusha pesa zetu hadi udai ndio wanakuwekea. Ukiumwa hawalijui hilo wala ukiuguza. Kuna wakati walimpa ruhusa mwezetu kumpeleka mama yake India kutibiwa aliporudi wakamfukuza kazi eti kapitisha muda na ukweli ni jinsi matibabu yalivyokuwa magumu, wamefukuza watoto kwa chuki za kijinga, HR wamekuwa wakidhulumu masaa ya wakufanya kazi ya staff, ngono ndio usiseme, wamekula bonus za staff hadi kichefuchefu bila kujua yuko Mungu. Arobaini yao imefika sasa wamepigwa chini na wamepoteza wafanyakazi takribani wote wa call centre na kuchukuliwa na muajiri mwingine.

Dhuluma huchuma dhambi, nendeni mkaanze upya. Nyambavuuuuuuuuuu

Kwani mkuu Client wao walikuwa Vodacom pekee..? huko kwingine walikobakia wanaendelea na mambo yao kama kawaida
Kwa Tanzania naona INFINITY ndio recruitment Agency inayojari staff wake kwa mshahara mzuri na mikopo, pia ongezeko la mshahara kila mwaka na wana mtaji mkubwa hata client akichelewesha salary wao hufanya malipo na baadae kupokea kutoka kwa client.....Nawapongeza hawa wengine naona ni shida tu
 
Kwani mkuu Client wao walikuwa Vodacom pekee..? huko kwingine walikobakia wanaendelea na mambo yao kama kawaida
Kwa Tanzania naona INFINITY ndio recruitment Agency inayojari staff wake kwa mshahara mzuri na mikopo, pia ongezeko la mshahara kila mwaka na wana mtaji mkubwa hata client akichelewesha salary wao hufanya malipo na baadae kupokea kutoka kwa client.....Nawapongeza hawa wengine naona ni shida tu
Mkuu infinity ndo wapi hao na wanapatikana wapi?
 
Back
Top Bottom