Mama Amon
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 2,021
- 2,478
Ernest Sungura, Mkurugenzi Mtendaji wa Uhuru Communications aliyesimamishwa
Ernest Samson Sungura ni Mkurugenzi Mtendaji wa Uhuru Communications aliyesimamishwa kazi ili kupisha uchunguzi wa kosa la gazeti la Uhuru kumlisha maneno Raois Samia. Toleo lipo hapa chini.
Sungura ni miongoni mwa watu wachache makini ambao nimewahi kuona, tangu enzi zile akiwa Mkurugenzi wa Tanzania Media Foundation (TMF).
Nijuavyo mie, Sungura asingeweza kushindwa kuona kosa hilo lililiofanywa na gazeti la uhuru. Kulitokea nini hasa?
Ni vigumu kuacha kuamini tuhuma kwamba ametumiwa na ndugu zake maarufu kama sukuma gang!
Itabidi afanye kazi kubwa kujitetea...