bwa ha ha ha kitu gani hiyo mkuu?Hey utafungiwa mda sio mrefu mkuu...me niliomba contact za Mzee Mengi Invisible alinifanyia kitu mbaya.ngoja nione kwako itakuwaje?
mi nimeizimika hii baba!!!Au soma magazeti yake chini kuna contact au soma zile hadith zake kwenye magazeti ya udaku kuna e-mail zake
WADAU, YEYOTE MWENYE CONTACT ZA ERICK SHIGONGO (particularly email adress) naomba anisaidie!! Nina shida sana na huyo mtu.
thanks in advance
check na tcra amekwisha registerwadau, yeyote mwenye contact za erick shigongo (particularly email adress) naomba anisaidie!! Nina shida sana na huyo mtu.
Thanks in advance