Kwanii serikali hii sasa hivi inasema waombaji wa sifa linganishi hawawezi kupata mkopo kwa sababu ambazo hazina miguuu wala mikono ni mkia tu ambao siku zote nyuma unafuata kichwa kiendako, bodi isifanye mchezo na elimu za watu wala isilete longolongo kwenye elimu, wanafunzi wakati wanomba hamkuwaambia kuwa hamhitaji waombaji wa equivalent leo hii mnasema kuwa hatutoi mikopo kwa jamii hii, hivi elimu si haki mtanzania kama equivalent ambao wanapaswa kupata mkopo mnasema kuwa hawapaswi, hiyo siyo haki kabisa inaweza ikaleta katika nchi wanafunzi wakifika tu vyuoni.
Hebu jaribuni kufikiria kuhusu hawa watu kuptata mkopo kama ilivyokuwa awali miaka iliyopita kwani nyinyi bodi mna kitu gani kipya chakubadili, sasa nyinyi ndo mnaharibu kabisaaaaaa hata sioni jipya kwenu kama hawa waomnaji mnaowaita equivalent hawatapata mkopo.
Hebu jaribuni kufikiria kuhusu hawa watu kuptata mkopo kama ilivyokuwa awali miaka iliyopita kwani nyinyi bodi mna kitu gani kipya chakubadili, sasa nyinyi ndo mnaharibu kabisaaaaaa hata sioni jipya kwenu kama hawa waomnaji mnaowaita equivalent hawatapata mkopo.