Equity Bank wekeni ATM zenu sehemu mbalimbali.

Utakuwa uko sahihi kwa makato ya Visa. Ila kwa Equity Wakala na kwa Cashier ni tofauti.

Mara ya mwisho nimetoa Tsh 260,000 Equity kwa Cashier, wamekata Tsh 4,000.
kwa keshia ipo hivyo kweli...ata mimi iliwahi kunitokea nilitamani kuandamana...tena nilitoa 70k....tu harafu nilikuwa na 75k ghafra nikashangaa narushiwa meseji kuwa 4000 imekatwa...nilishikwa na butwaa...nikamlaum sana mtoa huduma kwa kutokunielewesha kabla sijafanya muamala
 
Sasa si uende kwa wakala mbona wakala wa equity wamejaa wengi sana mitaani kuliko ata hizo atm za nmb na crdb..ukiacha visa card yako unayocount every sh..
Kinakuuma Nini Mimi kucount my every sh... It's my hard earned money, lazima niwe na discipline nayo.

Na hao mawakala unaowaongelea gharama zao hazina tofauti na mawakala wa Sim. Unakatwa kutokana na kiasi unachotoa
 
Mkuu nenda katoe kuanzia Tsh 260,000 makato yakuwa 4,000. Nakuelewa sana kwanini unasema ni 3,000🤣
Kwenye customer care sijui wameweka wakenya wale. Kuna mmoja naongea naye akaanza kuleta tone ya kumind/kuboreka. Hapo warekebishe. Na kama ni Tanzania waweke watanzania wanaojua kiswahili vizuri.
 
Kwenye customer care sijui wameweka wakenya wale. Kuna mmoja naongea naye akaanza kuleta tone ya kumind/kuboreka. Hapo warekebishe. Na kama ni Tanzania waweke watanzania wanaojua kiswahili vizuri.
Yes, watu wanatofautiana ila wengi wao wako vizuri.
 
itategemea sasa...kuwa namtumia yakazi gani...na siku zote kumbuka kuwa kutoa huwa ni moyo...ata hizi benk tunazo zizungumzia wana mihela wameifungia ila hata siku moja huwezi kukuta wanagawa mipesa hadharani...hii ni kutokana na kila pesa ina mpango wake...huwezi tu kuanza kugawa pesa
Ndo Mana jamaa amekuambia kuwa kila cent Ina kazi yake.
So mie nimekushangaa unauliza kuwa 3k ni pesa mingi sana.
So ikaonekana labda wewe ni Elon Musk.
Naye hawezi kukupa hela Mana kila hela Ina kazi yake
 
Utakuwa uko sahihi kwa makato ya Visa. Ila kwa Equity Wakala na kwa Cashier ni tofauti.

Mara ya mwisho nimetoa Tsh 260,000 Equity kwa Cashier, wamekata Tsh 4,000.
Kwa Cashier lazma upigwe hata bank zingine makato ni buku 6-7!!!
 
Kinakuuma Nini Mimi kucount my every sh... It's my hard earned money, lazima niwe na discipline nayo.

Na hao mawakala unaowaongelea gharama zao hazina tofauti na mawakala wa Sim. Unakatwa kutokana na kiasi unachotoa

Na hiyo nauli au mafuta utayotumia kuzifata hizo ATM mbona zitakua ni yale yale tu..au unashauri ATMs ziwe karibu na nyumbani kwako?
 
Hayo Mambo ya Visa/Master card nayajua, Visa fee iko juu tofauti na ATM fee. Naprefer kutumia ATM za bank husika sababu ya kuepuka visa fee. Hiyo 2000 kwangu Ni kubwa, namaanisha kwangu Every cent counts.

Hiyo option ya Visa card Ni nzuri ukiwa nje ya nchi.
Every cent counts halafu usafiri mpaka Mwenge kufuata ATM kisa unasevu kutotumia VISA. Sijakuelewa hapo
 
Mimi nilikuwa natumia NMB ila tangu nihamie Equity sijajuta.

Ila tatizo hawa Equity ni ATMs. Yaani wana ATMs Dar es Saalam hata 5 hazifiki lakini ukizikuta zina pesa au ziko functional shukuru Mungu.

Imagine, nimewahi hadi kwenda Makao Makuu yao, Golden Jubilee lakini ATm ilikuwa mbovu nikaishia kutoa dirishani.

Makato kwenye ATM ni Tsh 1,000 lakini kwenye ATM ukitoa 250,000- 300,000 unachajiwa mpaka Tsh 4,000.
Hapo mwisho haujaeleweka
 
Mimi nilikuwa natumia NMB ila tangu nihamie Equity sijajuta.

Ila tatizo hawa Equity ni ATMs. Yaani wana ATMs Dar es Saalam hata 5 hazifiki lakini ukizikuta zina pesa au ziko functional shukuru Mungu.

Imagine, nimewahi hadi kwenda Makao Makuu yao, Golden Jubilee lakini ATm ilikuwa mbovu nikaishia kutoa dirishani.

Makato kwenye ATM ni Tsh 1,000 lakini kwenye ATM ukitoa 250,000- 300,000 unachajiwa mpaka Tsh 4,000.
Mimi wananiboa Kwa kutoa hela kidogo kidogo, mfano ukitaka laki 8 lazima utoe mara mbili. Na mwisho wa kutoa hela Kwa siku ni milion moja. Mimi huwa naona Bora niende dirishani nafanya Kwa mara moja tulia, muda mwingi nilikuwa naamishia kwenye simu lakini kutokana wazee wa tozo inabidi tubanane benki Tu.
 
Mabenk yaache fitina kwa makumpuni ya simu,biashara ni ushindani wao wanashindwa vipi kusambaza mawakala na Atm hadi uchochoron kama kampuni za simu.Waache fitina na kuwahonga wanasiasa uchwara Ili wawasaidie kuua makampuni ya simu kupitia dabo tozo.Pesa kama haizunguki kwenye mabenk hata ikizunguka kwenye simu ni uchumi tosha pia.
 
Back
Top Bottom