Equity Bank wekeni ATM zenu sehemu mbalimbali.

Grena

JF-Expert Member
Jul 30, 2016
657
1,542
Habari zenu wakuu,

Tangu hili swala la tozo za miamala liongezeke Mimi Binafsi nimeacha kutumia miamala kwenye sim na kuhamisha majeshi benki.

Bank yangu ya miaka yote Ni Equity lakini shida inakuja hawana ATM nyingi Yani Hadi uwafate ATM za kwenye branch zao.

Kama wakazi wa Mbezi beach/Tegeta/Bunju NMB kunaATM Kama 3 sehemu tofauti tofauti lakini Equity Hadi uende mwenge ndo Utapata huduma za ATM otherwise utumie maagent ambao nao gharama zao za kutoa Ni kubwa.

Jamani Equity jiongezeni bank Kama NMB, CRDB wamesambaza ATM kila mahali unampa urahisi mteja wa kutoa hela zake, sio nifunge safari kilometer kadhaa kutafuta ATM.
 
1626610260743.png

mbona unaturudisha kwenye zama za ujima...kadi karibia zote za equity ivi sasa ni viza amabazo unaweza kutoa pesa kwenye ATM karibia nyingi zenye huduma ya Visa....na gharama kwa kila huduma ni 3000 tu...gharama hiyo ya sh.3000 ni kwa kila muamala ambapo kiwango cha juu kabisa kutoa ni 400000/ kwa hiyo hapo tofauti ni shilingi 2000 tu ya gharama za kawaida kwa ATM za equity...kwa hiyo sio lazima uende mwenge nenda kwenye ATM za mabenk mengine
1626610199223.png
 
View attachment 1858331
mbona unaturudisha kwenye zama za ujima...kadi karibia zote za equity ivi sasa ni viza amabazo unaweza kutoa pesa kwenye ATM karibia nyingi zenye huduma ya Visa....na gharama kwa kila huduma ni 3000 tu...gharama hiyo ya sh.3000 ni kwa kila muamala ambapo kiwango cha juu kabisa kutoa ni 400000/ kwa hiyo hapo tofauti ni shilingi 2000 tu ya gharama za kawaida kwa ATM za equity...kwa hiyo sio lazima uende mwenge nenda kwenye ATM za mabenk mengine
View attachment 1858329
Hayo Mambo ya Visa/Master card nayajua, Visa fee iko juu tofauti na ATM fee. Naprefer kutumia ATM za bank husika sababu ya kuepuka visa fee. Hiyo 2000 kwangu Ni kubwa, namaanisha kwangu Every cent counts.

Hiyo option ya Visa card Ni nzuri ukiwa nje ya nchi.
 
Habari zenu wakuu,

Tangu hili swala la tozo za miamala liongezeke Mimi Binafsi nimeacha kutumia miamala kwenye sim na kuhamisha majeshi benki.

Bank yangu ya miaka yote Ni Equity lakini shida inakuja hawana ATMs nyingi Yani Hadi uwafate ATM za kwenye branch zao.

Kama wakazi wa Mbezi beach/Tegeta/Bunju NMB kunaATM Kama 3 sehemu tofauti tofauti lakini Equity Hadi uende mwenge ndo Utapata huduma za ATM otherwise utumie maagent ambao nao gharama zao za kutoa Ni kubwa.

Jamani Equity jiongezeni bank Kama NMB, CRDB wamesambaza ATM kila mahali unampa urahisi mteja wa kutoa hela zake, sio nifunge safari kilometer kadhaa kutafuta ATM.
Mimi nilikuwa natumia NMB ila tangu nihamie Equity sijajuta.

Ila tatizo hawa Equity ni ATMs. Yaani wana ATMs Dar es Saalam hata 5 hazifiki lakini ukizikuta zina pesa au ziko functional shukuru Mungu.

Imagine, nimewahi hadi kwenda Makao Makuu yao, Golden Jubilee lakini ATm ilikuwa mbovu nikaishia kutoa dirishani.

Makato kwenye ATM ni Tsh 1,000 lakini kwa wakala au kwa Cashier dirishani ukitoa 250,000- 300,000 unachajiwa mpaka Tsh 4,000.
 
Mimi nilikuwa natumia NMB ila tangu nihamie Equity sijajuta.

Ila tatizo hawa Equity ni ATMs. Yaani wana ATMs Dar es Saalam hata 5 hazifiki lakini ukizikuta zina pesa au ziko functional shukuru Mungu.

Imagine, nimewahi hadi kwenda Makao Makuu yao, Golden Jubilee lakini ATm ilikuwa mbovu nikaishia kutoa dirishani.

Makato kwenye ATM ni Tsh 1,000 lakini kwenye ATM ukitoa 250,000- 300,000 unachajiwa mpaka Tsh 4,000.
hapana kwenye makato umechanganya kidogo ni 3000 mkuu...
 
View attachment 1858331
mbona unaturudisha kwenye zama za ujima...kadi karibia zote za equity ivi sasa ni viza amabazo unaweza kutoa pesa kwenye ATM karibia nyingi zenye huduma ya Visa....na gharama kwa kila huduma ni 3000 tu...gharama hiyo ya sh.3000 ni kwa kila muamala ambapo kiwango cha juu kabisa kutoa ni 400000/ kwa hiyo hapo tofauti ni shilingi 2000 tu ya gharama za kawaida kwa ATM za equity...kwa hiyo sio lazima uende mwenge nenda kwenye ATM za mabenk mengine
View attachment 1858329
Visa kibongo bongo ni Mungu saidia🤣

Nimewahi kwenda kutoa pesa kwenye ATM ya NMB kwa Equity Visa, nikaishia kupokea message tu halafu pesa haikutoka.

Ikabidi niwapigie simu, wakanipanga watairudisha baada ya wiki, na imagine pesa yenyewe ilikuwa ni Tsh 50,000 ya sikukuu ( Kama kawa wazee wa Garda🤣 )

Ila kwa customer care Equity wako vizuri.
 
Visa kibongo bongo ni Mungu saidia🤣

Nimewahi kwenda kutoa pesa kwenye NMB kwa Equity Visa, nikaishia kupokea message tu halafu pesa haikutoka.

Ikabidi niwapigie simu, wakanipanga watairudisha baada ya wiki, na imagine pesa yenyewe ilikuwa ni Tsh 50,000 ya sikukuu ( Kama kawa wazee wa Garda🤣 )

Ila kwa customer care Equity wako vizuri.
mwezi wa 12 hiyo....ila si walikurudishia....?
 
Mimi nilikuwa natumia NMB ila tangu nihamie Equity sijajuta.

Ila tatizo hawa Equity ni ATMs. Yaani wana ATMs Dar es Saalam hata 5 hazifiki lakini ukizikuta zina pesa au ziko functional shukuru Mungu.

Imagine, nimewahi hadi kwenda Makao Makuu yao, Golden Jubilee lakini ATm ilikuwa mbovu nikaishia kutoa dirishani.

Makato kwenye ATM ni Tsh 1,000 lakini kwenye ATM ukitoa 250,000- 300,000 unachajiwa mpaka Tsh 4,000.
Nataka nihamie NMB kuweka hela za kutumia hapa na pale sababu ya urahisi wa ATM. Equity inabaki for savings hela ambazo Sina uhitaji nazo wa haraka
 
Nataka nihamie NMB kuweka hela za kutumia hapa na pale sababu ya urahisi wa ATM. Equity inabaki for savings hela ambazo Sina uhitaji nazo wa haraka
fungua tu fixed accout huko uko equity...ama uwe na jijenge account huko huko equity...nmb ni pasua kichwa sana nakwambia
 
Kama sio nyingi una ubavu wa kumtumia mtu yeyote humu hata buku kweli ya bure tuone Kama haitokuuma
itategemea sasa...kuwa namtumia yakazi gani...na siku zote kumbuka kuwa kutoa huwa ni moyo...ata hizi benk tunazo zizungumzia wana mihela wameifungia ila hata siku moja huwezi kukuta wanagawa mipesa hadharani...hii ni kutokana na kila pesa ina mpango wake...huwezi tu kuanza kugawa pesa
 
Pasua kichwa kivipi mkuu
ukipatwa na tatizo huto pata msaada kwa wakati..watakusumbua hadi muda mwingine utatamani uhaili...ila equity...wako vizuri in-term of customer care...unaweza ukapiga simu hapo hapo ukahudumiwa huku ukiwa nyumbani...nmb kitu kidogo unakifuatilia kwa kupanga foleni
 
huwa natoa mara kwa mara...hata jana tu nimetoa 400k na iliyo katwa ni 3000 tu...labda tuseme inategemea na aina ya atm...maana mimi natoleaga kwenye atm za crdb...
Utakuwa uko sahihi kwa makato ya Visa. Ila kwa Equity Wakala na kwa Cashier ni tofauti.

Mara ya mwisho nimetoa Tsh 260,000 Equity kwa Cashier, wamekata Tsh 4,000.
 
Hayo Mambo ya Visa/Master card nayajua, Visa fee iko juu tofauti na ATM fee. Naprefer kutumia ATM za bank husika sababu ya kuepuka visa fee. Hiyo 2000 kwangu Ni kubwa, namaanisha kwangu Every cent counts.

Hiyo option ya Visa card Ni nzuri ukiwa nje ya nchi.

Sasa si uende kwa wakala mbona wakala wa equity wamejaa wengi sana mitaani kuliko ata hizo atm za nmb na crdb..ukiacha visa card yako unayocount every sh..
 
Back
Top Bottom