Equity bank imeamua kumerge benki mbili inazomiliki huko DR Congo ili ziwe benki moja kubwa.

Hapo kwa DRC tulipatia....patamu sana tukifaulu kuteka soko lao tutakua tumefunga mabao ya kufa mtu.
Pia Equity wanazidi kutanua Tanzania, haya mataifa mawili bado bikira kwenye suala la uwekezaji wa kwenye mabenki, tuingie kichwa kichwa.
 
Back
Top Bottom