Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,017
- 16,427
Equity bank imeamua badala ya kudeal na benki mbili huko DR Congo ni heri izishikanishe pamoja ili ziwe bank moja kubwa. Benki za Kenya zinazidi kutesa ukanda huu wote. Naona uchumi wa Kenya ni wa kwenye makaratasi.