Gospel Preacher
JF-Expert Member
- Jan 17, 2018
- 233
- 263
Habari zenu ndugu zangu, napenda kufikisha kero zangu kwa uongozi wa Equit bank tawi la mwenge kwa wafanyakazi mjirekebishe maana mmezidi uvivu na kutegeana, kazi kama wafanyaka ni wachache fanyeni muajiri watu wanasaka hajira mtaani.
Acheni uvivu na kutegeana utakuta wafanyakazi mapokezi mnaa wanne alafu section nyingine ni foleni na hakuna mtu.
Acheni uvivu na kutegeana utakuta wafanyakazi mapokezi mnaa wanne alafu section nyingine ni foleni na hakuna mtu.