Epuka haya majibu kutoka kwa mwanamke!

Kwel kabisa kwa mtu wako wa nguvu( mpenzi wako) hawezi kuwaza kukupiga mzinga kias hicho, kiuhalisia atakuwa kibenteni tu. Lakini pia Kama Una malengo naye makubwa tafuta namna ya kumwondolea hizo fikra kwa mfano siku zingine mpigie simu muulizie na umshauri mambo ya ujasiliamali uone je ni MTU anapenda kutafuta ili kuondokana na utegemezi? Au atonekana anapenda tu vya kupewa? Wakati mwingine Kama kuna mahali pengine labda kuna semina yoyote ya vijana na maisha mshirikishe uende naye ajifunze mwisho ataona thamani yako na atakupenda zaidi kuliko ulivyodhani hapo awali, sambamba tu na hilo mkabidhi kwa Mungu katika maombi yako na ikiwezekana uambatane naye kwenda kanisani, Rafiki yangu kwa mwanamke mwenye malengo na wewe lazima kuna kitu atakihisi kuwa unacho wewe tu na wala si mapesa Bali upendo, ambao hajawahi uona kwa mwanaume mwingine, AHSANTE
Umezungumza mambo ya msingi sana big up kaka
 
Mwanamke Akikujibu SMS yako Hivi Acha Haraka Sana Kuchat Nae Haraka Sana

Ukiona umemtumia mpenzi wako/mchumba wako au hata rafiki wa kike wakati mwingine SMS ya kawaida tu kwaajili ya kumsalimia lakini yeye akakujibu moja kati ya majibu yafuatayo, tafadhali sana usiendelee kuchat nae maana kinachofuata hapo ni majanga tu.

KWA MFANO:

1. Ukimtumia sms ''Mambo mpenzi wangu?'' akikujibu ''mambo mabaya'', usimuulize kwanini mambo mabaya, ukimuuliza atakwambia kuwa ''sina hela dear''

2. Ukimtumia sms ''Maisha yanasemaje kipenzi changu'' akikujibu ''maisha magumu hubby wangu we acha tu'' usimuulize kwanini, ukimuuliza kwanini atakwambia ''nimefulia mwenzio kama nini sijui''

3. Ukimtumia sms ''Mbona kimya sana mchumba wangu, umenitupa kiasi hicho'' akikujibu ''sijakutupa wangu yaani mambo hata hayaendi'' usimuulize kwanini mambo hayaendi, ukimuuliza atakwambia kuwa ''yaani sina kitu mpenzi wangu, simu ilikuwa haina hata hela ya kubeep''

4. Au ukiona mwanamke anaanza kwa kukwambia nikwambie kitu? We mkatalie kiutani utani tu, mwambie usiniambie, hata akikomaa vipi akwambie mwambie sitaki uniambie huku unafanya kama utani lakini moyoni unakuwa upo serious.

Ni mara chache sana mwanamke akikwambia kuwa mambo mabaya, maisha magumu au mambo hayaendi huwa na matatizo mengine kama kuumwa, misiba.... n.k lakini THE REST ni wapigaji mizinga tu. Akikwambia maisha magumu mjibu ''pole wangu, mambo mengine vipi?''

Ukipewa majibu kama hayo, chagua moja, either usiendelee kuchat nae mpaka badae kidogo au mbadilishie maada ili kukwepa huo mzinga ambao unakuja mbele yako.

Ni akili yangu tu
mi mara nyingi nikiona meseji ya "mambo? i miss you" huwa sijibu najua kitakachofuata ni kizinga😁
 
ubahili unakusumbua
Mwanamke Akikujibu SMS yako Hivi Acha Haraka Sana Kuchat Nae Haraka Sana

Ukiona umemtumia mpenzi wako/mchumba wako au hata rafiki wa kike wakati mwingine SMS ya kawaida tu kwaajili ya kumsalimia lakini yeye akakujibu moja kati ya majibu yafuatayo, tafadhali sana usiendelee kuchat nae maana kinachofuata hapo ni majanga tu.

KWA MFANO:

1. Ukimtumia sms ''Mambo mpenzi wangu?'' akikujibu ''mambo mabaya'', usimuulize kwanini mambo mabaya, ukimuuliza atakwambia kuwa ''sina hela dear''

2. Ukimtumia sms ''Maisha yanasemaje kipenzi changu'' akikujibu ''maisha magumu hubby wangu we acha tu'' usimuulize kwanini, ukimuuliza kwanini atakwambia ''nimefulia mwenzio kama nini sijui''

3. Ukimtumia sms ''Mbona kimya sana mchumba wangu, umenitupa kiasi hicho'' akikujibu ''sijakutupa wangu yaani mambo hata hayaendi'' usimuulize kwanini mambo hayaendi, ukimuuliza atakwambia kuwa ''yaani sina kitu mpenzi wangu, simu ilikuwa haina hata hela ya kubeep''

4. Au ukiona mwanamke anaanza kwa kukwambia nikwambie kitu? We mkatalie kiutani utani tu, mwambie usiniambie, hata akikomaa vipi akwambie mwambie sitaki uniambie huku unafanya kama utani lakini moyoni unakuwa upo serious.

Ni mara chache sana mwanamke akikwambia kuwa mambo mabaya, maisha magumu au mambo hayaendi huwa na matatizo mengine kama kuumwa, misiba.... n.k lakini THE REST ni wapigaji mizinga tu. Akikwambia maisha magumu mjibu ''pole wangu, mambo mengine vipi?''

Ukipewa majibu kama hayo, chagua moja, either usiendelee kuchat nae mpaka badae kidogo au mbadilishie maada ili kukwepa huo mzinga ambao unakuja mbele yako.

Ni akili yangu tu
 
Hahaha maisha hata

Kuna Dada nlimpendaga sana sana sana
Kipind iko sina ajira....kwa kipaji changu nikawa napata japo kidogo.....pia nnaishi home nikawa nnampa yeye hicho kidogo nachokipata....
Akaja pata MTU mwenye Hera nyingi...kaniacha na maneno juu.....et ananambia au nikulipe pesa zako..!?
Wiki tatu mbele akanipgia akanambia usinijue tangu Leo...Fanya yako nfanye yangu.....Mimi nikasema sawa haina tabu..maisha yaendelee

Jana kanambia nisaidie walau...elfu.....(...) Moyo unauma kumyima ila nikikumbuka dah...
Duh msaidie lakini huenda kakwama kweli, mlipe wema Kwa ubaya, nafsi itamsuta na huenda bado anakupenda pia,mrudiane tuu

Sorry una Kipaji gani??,
 
Mwanamke Akikujibu SMS yako Hivi Acha Haraka Sana Kuchat Nae Haraka Sana

Ukiona umemtumia mpenzi wako/mchumba wako au hata rafiki wa kike wakati mwingine SMS ya kawaida tu kwaajili ya kumsalimia lakini yeye akakujibu moja kati ya majibu yafuatayo, tafadhali sana usiendelee kuchat nae maana kinachofuata hapo ni majanga tu.

KWA MFANO:

1. Ukimtumia sms ''Mambo mpenzi wangu?'' akikujibu ''mambo mabaya'', usimuulize kwanini mambo mabaya, ukimuuliza atakwambia kuwa ''sina hela dear''

2. Ukimtumia sms ''Maisha yanasemaje kipenzi changu'' akikujibu ''maisha magumu hubby wangu we acha tu'' usimuulize kwanini, ukimuuliza kwanini atakwambia ''nimefulia mwenzio kama nini sijui''

3. Ukimtumia sms ''Mbona kimya sana mchumba wangu, umenitupa kiasi hicho'' akikujibu ''sijakutupa wangu yaani mambo hata hayaendi'' usimuulize kwanini mambo hayaendi, ukimuuliza atakwambia kuwa ''yaani sina kitu mpenzi wangu, simu ilikuwa haina hata hela ya kubeep''

4. Au ukiona mwanamke anaanza kwa kukwambia nikwambie kitu? We mkatalie kiutani utani tu, mwambie usiniambie, hata akikomaa vipi akwambie mwambie sitaki uniambie huku unafanya kama utani lakini moyoni unakuwa upo serious.

Ni mara chache sana mwanamke akikwambia kuwa mambo mabaya, maisha magumu au mambo hayaendi huwa na matatizo mengine kama kuumwa, misiba.... n.k lakini THE REST ni wapigaji mizinga tu. Akikwambia maisha magumu mjibu ''pole wangu, mambo mengine vipi?''

Ukipewa majibu kama hayo, chagua moja, either usiendelee kuchat nae mpaka badae kidogo au mbadilishie maada ili kukwepa huo mzinga ambao unakuja mbele yako.

Ni akili yangu tu
Niliyashika haya tangu balehe yangu..!
 
Back
Top Bottom