Smart Guy
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 6,701
- 6,658
Umezungumza mambo ya msingi sana big up kakaKwel kabisa kwa mtu wako wa nguvu( mpenzi wako) hawezi kuwaza kukupiga mzinga kias hicho, kiuhalisia atakuwa kibenteni tu. Lakini pia Kama Una malengo naye makubwa tafuta namna ya kumwondolea hizo fikra kwa mfano siku zingine mpigie simu muulizie na umshauri mambo ya ujasiliamali uone je ni MTU anapenda kutafuta ili kuondokana na utegemezi? Au atonekana anapenda tu vya kupewa? Wakati mwingine Kama kuna mahali pengine labda kuna semina yoyote ya vijana na maisha mshirikishe uende naye ajifunze mwisho ataona thamani yako na atakupenda zaidi kuliko ulivyodhani hapo awali, sambamba tu na hilo mkabidhi kwa Mungu katika maombi yako na ikiwezekana uambatane naye kwenda kanisani, Rafiki yangu kwa mwanamke mwenye malengo na wewe lazima kuna kitu atakihisi kuwa unacho wewe tu na wala si mapesa Bali upendo, ambao hajawahi uona kwa mwanaume mwingine, AHSANTE