SECRET AGENT
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 252
- 487
Msaada kwa mwenye uelewa hizi printer hivi ndo hizi ambazo hazitumii cartridge?? Na vipi kuhusu bei maana kuna mdau kanambia alichukua dar kwa 1.5 million ni kweli bei yake ndo hiyo au uongo??
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app