rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Nipo hapa kijiweni kiboroloni watu wamesikitika sana kitendo cha kibonde kutowepo clouds leo,watu hapa moshi wanaheshimu sana hao watu wawili,eti wakihama clouds lazima wafunge kituo manake kutakuwa hamna wasikilizaji tena,,tehehetehehe,,imekaaje wakuu????