Melvine
JF-Expert Member
- Apr 3, 2013
- 665
- 1,261
Duru la raundi ya kwanza ya EPL imeitimishwa leo baada ya kuona games kadhaa zikipigwa katika madimba kadhaa ya kabumbu uko England.
Kwa upande mmoja naona Chelsea ikikubali kichapo cha goli 4 bila majibu kwa timu ya Man U, nadiriki kusema...kwa aina ile ya mfumo na wachezaji naona kabisa Chelsea ikipoteza points kadhaa mbele ya timu kubwa kama Man City, Liverpool, Spurs na Arsenal.
Frank Lampard ndio kocha wa mapema sana kufukuzwa kazi maana mweye timu hana kabisa uvumilivu wa aina hii ya matokeo.
Ni swala la muda tu.
UPDATE no1.
Super Cup Final - Liverpool Vs Chelsea
Full time 1-1, Extra time 2-2.
Penalty Shoot-out 5-4
Liverpool ndio bingwa wa Super Cup 2019-2020.
UPDATE no2.
EPL - Chelsea Vs Leicester City
Full time 1-1
Melvine!
Kwa upande mmoja naona Chelsea ikikubali kichapo cha goli 4 bila majibu kwa timu ya Man U, nadiriki kusema...kwa aina ile ya mfumo na wachezaji naona kabisa Chelsea ikipoteza points kadhaa mbele ya timu kubwa kama Man City, Liverpool, Spurs na Arsenal.
Frank Lampard ndio kocha wa mapema sana kufukuzwa kazi maana mweye timu hana kabisa uvumilivu wa aina hii ya matokeo.
Ni swala la muda tu.
UPDATE no1.
Super Cup Final - Liverpool Vs Chelsea
Full time 1-1, Extra time 2-2.
Penalty Shoot-out 5-4
Liverpool ndio bingwa wa Super Cup 2019-2020.
UPDATE no2.
EPL - Chelsea Vs Leicester City
Full time 1-1
Melvine!