Mwimbaji mkongwe wa nyimbo za injili na Askofu wa Hossana Assemblies of God Ephraim R. Mwansasu amefariki dunia usiku wa kuamkia leo (29/08/2021). Mwasasu alikuwa akisumbuliwa na maradhi ya moyo kwa muda mrefu, kwa sasa msiba upo Kimara Mwisho.
Mwili wa marehemu Askofu Mwansasu unatarajiwa kusafirishwa kesho jumatatu Agosti 30, 2021 kutoka jijini Dar Es Salaam kwenda Mbeya kwa ajili ya mazishi yanayotarajiwa kufanyika 31 Agosti 2021.
Mwansasu atakumbukwa kwa nyimbo zake nyingi alizoziimba kwa mvuto wa aina yake na kutoa ujumbe mzuri kwa kila aliyesikiliza na kuona video za nyimbo hizo zilizopendwa na kupata umaarufu Tanzania na nje ya Tanzania.
Baadhi ya nyimbo za Mwasasu ni:
- Siku nikilala mauti.
- Nangojea wakati.
- Kutesa kwa zamu.
- Dunia inapita.
- Tukimaliza kazi.
- Kiama.
- Heri wenye moyo safi.
- Tutatesa milele.
Bwana Alitoa na Bwana Ametwaa Jina Lake Lihimidiwe, Pumzika kwa amani nguli wa nyimbo za injili Askofu Ephraim R. Mwansasu.
View attachment 1914996
View attachment 1915817
View attachment 1915016
Amen, hakika alikitendea haki kipaji cha uimbaji. Nyimbo zenye ujumbe kwa wakati wote (zinaishi).Poleni sana Wafiwa
we used to have this tape at our home my late mom alikua anapenda sana kusikiliza nyimbo zake..too sad
AmenPoleni sana
AmenApumzike kwa amani.
Tusisahau tahadhari kama vifaranga wa kuku wa kienyeji vile.
Amen, tumuombe Mwenyezi Mungu atujalie mwisho ulio mwema.Kifo ni ahadi hakika
Ni yeye Mwansasu. Ameondoka na kurejea kwa Muumba.Ni jambo la kushangaza kwangu kuwa jana J2 asubuhi nimeingia YouTube na kusiliza wimbo wake, " Siku Nikilala", sikuwa najua chochote kuhusu yeye.
Amen, till we meet again.He short-lived his singing talent, he was ill advised to quit singing carrier and join his Askofuship so early, funny he couldnt run all then together. Bye bye legend the icon, the league gospel the endless relevancy in all songs inter-generational relevancy of all time in gospel songs album.
AmenApumzike kwa amani
Kweli Mkuu, duniani tunapita. Hatuna uraia wa kudumu mahali hapa, ipo siku tutaondoka.dunia mapito
bado kuna watu wanabisha
Pole sana Mkuu. Mwenyezi atujalie sote ustahimilivu katika kipindi hiki kigumu.Imeniuma Sana my Gospel singer of all time,rest easy kyusa
Mwimbaji mkongwe wa nyimbo za injili na Askofu wa Hossana Assemblies of God Ephraim R. Mwansasu amefariki dunia usiku wa kuamkia leo (29/08/2021). Mwasasu alikuwa akisumbuliwa na maradhi ya moyo kwa muda mrefu, kwa sasa msiba upo Kimara Mwisho.
Mwili wa marehemu Askofu Mwansasu unatarajiwa kusafirishwa kesho jumatatu Agosti 30, 2021 kutoka jijini Dar Es Salaam kwenda Mbeya kwa ajili ya mazishi yanayotarajiwa kufanyika 31 Agosti 2021.
Mwansasu atakumbukwa kwa nyimbo zake nyingi alizoziimba kwa mvuto wa aina yake na kutoa ujumbe mzuri kwa kila aliyesikiliza na kuona video za nyimbo hizo zilizopendwa na kupata umaarufu Tanzania na nje ya Tanzania.
Baadhi ya nyimbo za Mwasasu ni:
- Siku nikilala mauti.
- Nangojea wakati.
- Kutesa kwa zamu.
- Dunia inapita.
- Tukimaliza kazi.
- Kiama.
- Heri wenye moyo safi.
- Tutatesa milele.
- Wosia wa baba.
- Watoto wachanga.
- Wanawake.
- Maumivu ya Yesu.
Bwana Alitoa na Bwana Ametwaa Jina Lake Lihimidiwe, Pumzika kwa amani nguli wa nyimbo za injili Askofu Ephraim R. Mwansasu.
View attachment 1914996
View attachment 1915817
View attachment 1915016
Amennenda tutaonana milele, ukifika mpe salamu magufuri mwambie tunamkumbuka saana.
Amennenda tutaonana milele, ukifika mpe salamu magufuri mwambie tunamkumbuka saana