Ephraim Kibonde umetudharau wasomi. Pima kauli zako na ufanye maamuzi.

@Chapa Nalo, mimi ni denti wa Chuo cha Taifa na muathirika wa yale ya juzi. Moja ya ajenda za maandamano yetu yalikuwa ni kushinikiza Serikali iangalie upya suala la kulipa Sh. Bilioni 94 kwa kampuni hewa ya DOWANS. Hilo si la manufaa ya taifa mkubwa?
 
@Chapa Nalo, mimi ni denti wa Chuo cha Taifa na muathirika wa yale ya juzi. Moja ya ajenda za maandamano yetu yalikuwa ni kushinikiza Serikali iangalie upya suala la kulipa Sh. Bilioni 94 kwa kampuni hewa ya DOWANS. Hilo si la manufaa ya taifa mkubwa?

bet with me... hichi chuo sikijui wala hakipo.....
 
Jamani hizi porojo za hapa JF zinanichosha sana hakuna actionable directive tumebaki hadithi kama kiti moto. Kuhusu Kibonde ama uongozi wa wanafunzi wa udsm ama uongozi wa hayo maandamano ama both waandike official letter kwa clouds fm kutoa malalamiko yao na ku demand explanation, ama waweke mwanasheria wawapeleke mahakamani kwa kosa la ku damage their reputation na kutoa kashfa isiyokuwa na uthibitisho na mwisho waandike barua Media Council of Tanzania kufanya hayo hayo hawa mbwa wanachekewa kama wale wa magazeti ya kifisadi ya RA wanaendelea kupotosha wananachi kwa kuwa sio wote wanaosoma huku ndani na kuelewa kwamba kibonde ni ziro material na clouds ni kituo kidogo cha ikulu bulshit. Ni vizuri pia kwenye mashtaka yao wawe na mashtaka yanahomgusa kibonde personally na ushahidi uko mwingi tu na ku kusema ukweli kwamba hafai kufanya hata hiyo kazi ndogo ya utangazaji. Ifikie wakati tusione aibu kutengeneza jamii yetu huyu kibonde na ni laaana tupu asiachiwe kula kwa ku damage wenzake. Hao wanafunzi si wameona Mr sugu alivyomshughulikia? si mnaona alivyoshika adabu sasa sembuse wao wasomi na wengi, dawa nyingine watoe wito kwa wanafunzi wote wa vyuo vikuu na sekondari ambao wanathirika na swala la mikopo wakati kibonde huyo akipigia debe kulipwa kwa dowans waache mara moja kuangalia clouds na kusikiliza radio yao tuone kama wataendelea kujamba jamba wanakokufanya sasa, cheap people hawa
 
wala hutakiwi kuumiza kichwa chako kumfikiria huyu mtangazaji, swala moja tu la kujiuliza, je yeye kapitia chuo kikuuu? maana kama amepita huko sidhani kama angeweza kutamka kauli za udhalilishaji wa wanafunzi.
 
Hakuna aliyeonyesha kwamba 5,000/= kwa siku/mwezi/mwaka haitoshi kula/kuvaa/kulala na hivyo hakuna inayobaki ya kujirusha.

Na kuandamana kumpinga Kibonde ni kutoelewa mambo. Kibonde sio institutional authority.

Kama redioni kimeswa kitu kibaya ni bora kuelekeza lawama kwa kampuni yake sio kwenda nyumbani kwake.
 
I was not aware that kibonde is highly valuable and respectable and enfluence person in dis country so as wasoma wanaandamana to be against his point of view.
Nijuavyo mimi kibonde is nothing anatumia uhuru wake kusema maoni yake kutokana na level ya uelewa wake.
So kwanini wasomi wetu wapoteze muda kwa maoni ya mtu kama kibonde? upuuzi.
 
kusaga mfukuze kazi huyu bwana, atakuharibia super brand yako........sasa haisikiliziki na wasomi vijana ambao ni wateja wako muhimu...safisha uchafu huu, usiruhusu redio yako itumike kama ngazi ya wapumbavu wachache kujipendekezea kwa watawala wakitafuta madaraka. KIBONDE atakuharibia
 
bado mnamsikilizaga huyo pimbi?

ugonjwa unampeleka pabaya huyo msameheni bure anaharibu clouds
 
Nafikiri tatizo la kibonde ni moja-amelewa umaarufu.I think his time is soon over.If he could keep quiet and concetrate on his career,he would garner a substantial reputation.To give the devil his due,this guy is talented but anajiharibia mwenyewe.Hayuko mbali na mwisho wake-he will hit against the wall and fall
 
Nafikiri tatizo la kibonde ni moja-amelewa umaarufu.I think his time is soon over.If he could keep quiet and concetrate on his career,he would garner a substantial reputation.To give the devil his due,this guy is talented but anajiharibia mwenyewe.Hayuko mbali na mwisho wake-he will hit against the wall and fall
Duuuh!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom