Enzi zetu zile za kobas na bwaga

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Jan 10, 2009
5,471
733
-6.jpg
 
dah! enzi hizo ukivaa kama hivyo kijijini wanakuita anodi shwazinega. dah! kweli evolution imetake place. dah!
 
Disco tulikuwa tunaenda pale Empress cinema kiingilio buku tu mwaka 1992 leo 2010 enzi za JK kingilio Bills mpaka 30,000 balaaa

attachment.php
 

Attachments

  • disco enzi hizo.jpg
    disco enzi hizo.jpg
    52.5 KB · Views: 419
Na wananume wa enzi hizo tulikuwa tumekamilika kweli kweli vijana wa leo wamelegea legea tu sijui kwa kuwa wanakula kyepe yai na fanta?
 
Thanks kwa kunikumbusha mbali el. huyu ni dj kalikali na huyo mweupe ni dj pantalakis enzi zetu early 90s. hiyo benzi ni ya saidi hilali ali. (BORN CITY) Enzi hizo vijana walikua hawana tamaa sana ya michuma, labda awe ni "sea man"
 
Disco tulikuwa tunaenda pale Empress cinema kiingilio buku tu mwaka 1992 leo 2010 enzi za JK kingilio Bills mpaka 30,000 balaaa

attachment.php

kiingilio buku?!. Wewe niwa kizazi kipya, enzi hizo kiingilio mia mbili.
 
Shomari picha ya profile yako ni kiboko imebidi niwaoneyshe vijana wangu hapa nyumbani hawana mbavu.
 
Na wananume wa enzi hizo tulikuwa tumekamilika kweli kweli vijana wa leo wamelegea legea tu sijui kwa kuwa wanakula kyepe yai na fanta?

Hata mavazi yao hayashiki kiuno, ni mlegezo 2 wanasingizia Cata ...! Hata miondoko yao wana nesa nesa utafikili wana 'shokomzoba' kwenye magoti.

Zamani dawa za kuboost bunduki zilikuwa hazipo hadharani kama siku hizi, kwenye magazeti zimejaa za kila sampuli, mara shaft bomba, kifaru, chakachua nk! Umenikumbusha mbali mkuu!
 
Hata mavazi yao hayashiki kiuno, ni mlegezo 2 wanasingizia Cata ...! Hata miondoko yao wana nesa nesa utafikili wana 'shokomzoba' kwenye magoti.

Zamani dawa za kuboost bunduki zilikuwa hazipo hadharani kama siku hizi, kwenye magazeti zimejaa za kila sampuli, mara shaft bomba, kifaru, chakachua nk! Umenikumbusha mbali mkuu!

lolz, umegusa penyewe mkuu! Zamani mme kutumia viagra mpaka awe mzee, tena aandikiwe na doctor!
 
dah enzi hizo wajanja wanakwenda ugiriki na si US au UK km sasa. wazamiaji walikuwa kibao nakumbuka pale kurasini kulikuwa na kijiwe chao wamepiga chata kubwa ya meli na nanga halafu mbele wameandika sea never dry nyuma ya bango wameandika sea never die.
ea
 
Zama zile kulikuwa hakuna simu demu unamtongoza live live tena ukiwa umejipiga unyunyu wa nguvu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom