Enzi zetu ukimiliki hii kitu basi ni jambo la heshima mtaani...!!!!

baada ya swala kupotea akaja Avon Hizo bike zilikua hazifai yani ukiendesha baada ya mwezi huitamani
 
Nakumbuka mzee alinunua shaing chan kwa 37,000/= da ilikuwa balaa kitaa yani noma ikitokea safari ya kwenda gengeni unalazimisha uende wewe ili uendeshe baskeli yani kipindi hicho ilikuwa kama gari maana mtaa mzima hakuna mtu hata mwenye pikipiki.
 
Nakumbuka mzee alinunua shaing chan kwa 37,000/= da ilikuwa balaa kitaa yani noma ikitokea safari ya kwenda gengeni unalazimisha uende wewe ili uendeshe baskeli yani kipindi hicho ilikuwa kama gari maana mtaa mzima hakuna mtu hata mwenye pikipiki.
hahaha halafu ukute ndio king'wasu kinawakaa na pampu yhake kabisa pale.
 
Hizi walikuwa wanakopeshwa wanajeshi wadogo hizi miaka hyo,baadae wakaja kuwa wanakopeshwa Hyundai tena askari meja kwenda mbele enzi hizo TZJ.
aisee mkuu nikama umenisoma, baba alichukuaga mkopo wa Hyundai accent tena enzi hizo ilikua ni TZJ 7360, ndio gari anayoitumia mpaka leo wala hana mpango wa kununua gari nyingine
 
aisee mkuu nikama umenisoma, baba alichukuaga mkopo wa Hyundai accent tena enzi hizo ilikua ni TZJ 7360, ndio gari anayoitumia mpaka leo wala hana mpango wa kununua gari nyingine

Du mzee wako mtunzaji kweli yani anayo mpaka mida hii? Safi sana ila walikuwa wanaosha sana enzi hizo,ukiona Hyundai TZJ unajua ni mjeda.
 
Du mzee wako mtunzaji kweli yani anayo mpaka mida hii? Safi sana ila walikuwa wanaosha sana enzi hizo,ukiona Hyundai TZJ unajua ni mjeda.
kweli mkuu ni mtunzaji balaa. yaan enzi hizo hata ukiiba ukaoshee basi hata matrafiki hawawezi kukuzingua
 
Kule kwetu hilo ni "gari'. Usishangae unaambiwa mtu anamiliki "magari" matano ukicheki nyumba ya msonge!
 
Nilimiliki kitu SHENG ZHENG tairi imara zilikuwa.ni za China tulikuwa tunanunua 2000/=, ya India 600/= I miss them old days..
 
Mzee wangu alikuwa fundi baiskeli, sasa Jumamosi naamkia kijiweni kwa mzee kusaidia saidia kazi, then ananipa mia ya noti nikale mama ntilie, mimi badala ya kula nazuga zuga, nikirudi nimekunywa maji mia nimeibana.

Hapo tayari nina hela ya kwenda kuona movie Jumapili sh 50, na nyingine sh 10 kumi za siku tano za wiki nanunua chipsi mihogo. Dah, maisha yalikuwa marahisi sana.

Enzi zetu Deadly Prey, Ninja Hunter, Bruce Lee, Snake in the monkey's shadow etc.
 
Mzee wangu alikuwa na kitu chata HERO, alitesaje mtaani na udiwani aliukwaa...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom