dah, bumu la kwanza ilikuwa kuonyeshana room, mh watu tulilipuka tofautitofauti, tupa mbali nguo za A-LEVEL kamata mupya, vuta kalaptop hata kama kaku kuu ili mradi we nae uwe nacho freedomsquare mda wa discusion....mh kuchapika kulifuata baada ya mda mfupi, dah lawama hapo.
mie boom la kwAnza sikupata, so kwenye boom la pili nikapewa yote mawili, kama milioni na ushee, nikanunua laptop ya milioni... hiyo ndo ilikuwa most expensive asset niliyokuwa nayo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.