MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,852
- 6,205
Heshima kwenu wadau,, naona madogo wanaoanza first year wanajaza thread tu za bum huko jukwaa la elimu,, nadhan hii stage wengi tumepitia hasa tuliosoma undergraduate Tanzania...
Je wewe bum lako la kwanza ulifanyia nini?
Enzi zangu nakumbuka mara ya kwanza nilipewa kama laki 6 hivi unusu, enzi naanza first year Mzumbe.. Nilipoziona zimeingia tu bank nikadraw kama Lak 4 nikaenda town kununua home theatre kama lak 2 na nusu hivi then nikawashtua washkaji zangu wa high school tukaenda kwa baunsa ( bar moja maarufu mzumbe kujipongeza kwa kuanza first year) mpaka narudi geto nimebaki na elfu 25 tu...
Je wewe bum lako la kwanza ulifanyia nini?
Enzi zangu nakumbuka mara ya kwanza nilipewa kama laki 6 hivi unusu, enzi naanza first year Mzumbe.. Nilipoziona zimeingia tu bank nikadraw kama Lak 4 nikaenda town kununua home theatre kama lak 2 na nusu hivi then nikawashtua washkaji zangu wa high school tukaenda kwa baunsa ( bar moja maarufu mzumbe kujipongeza kwa kuanza first year) mpaka narudi geto nimebaki na elfu 25 tu...