Gaspare Mbile
JF-Expert Member
- Aug 30, 2016
- 1,569
- 1,599
Bashite suruali kama pukutio la unga mashineni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
baelezee baelezeeDogo....90s ndio zilikuwa pigo hizo! Buggy jeans, shati la dogi dogi au o.p.p
hahahaaaYo Yo Yo nashika kipaza nakamata na mchizi wangu yo anaitwa DAUD BASHITE.
We utakuwa na matatizo ya macho,,,, picha ipo safi inamuonesha bashite unasema banza stone tena? Acha upofu by the way ni kipindi hicho haidhuru kituUongo, hiyo ni picha ya Marehemu Banzo Stone (Masanja). Acheni uongo.
Watu mmekuwa wajinga sana wa kupitiliza. Hata kama mnalipwa na hao drug dons akina Mbowe ila hamtaweza kushinda hii vita, maana Mungu yupo upande wa Makonda.
Atakuwa alipewa na inspeta haroun maana jamaa ndo alikuwa mkali wa pamba enzi hzo....hizo nguo zake oversize alipewa na nani? Huyo jamaa yake pembeni kashapiga viloba kama 12 hiviii!!
huyo wa pembeni mbna kama tejaaaaaaaaa!!!Hapa bwana Bashite straight outta Koromije akiwa anachana ma verse hatari
Eeh Mungu wa Israel,hii nchi bana kuna ma genius mtaani wamedata na msongo wa mawazo huku kuna vilaza wanaojua kujipendekeza na kufokea watu ndipo wanaonekana wachapa kazi
Freeman mbowe wanaandika Filemoni,slipway wanaandika sleepway basi tafrani tupu,
haya sasa nawaletea yule kiumbe aliyekuwa anaandikiwa documents kwa English na miss wema sepetuuuuuuuuuuuuuu
View attachment 476254
Atakuwa aliazima kwa mstahiki Mayorhizo nguo zake oversize alipewa na nani? Huyo jamaa yake pembeni kashapiga viloba kama 12 hiviii!!
Bashite :Say oooooohh
Fans: ooooh
Bashite: say bashiteee
Fans: bashite.
Anaaanza kuchana.
Verse ya kwanza naanza, stone kama banza, niite Bashite pesa muhim kwanza,
Shule ya nin hapa mishen town, mpunga umesoma cheti kipo nyumbani, nimewarubuni madingi hadi raia hadi wizarani...
(Fans waaaanza kurusha makopo ) kapanda MANGE KIMAMBI..
Mange: pass microphone msom nimepandan dimbani, kiongozi gani , zero imejaaa kichwani , huo unanga wapelekee kwenu nyumbani, tumeamka usilete pigo za kizamani, xxxxxssssszz bashite Zero kichwaaniii
Fans; mangeeee mangeeee