Enzi zake Daudi Bashite akiwa msanii wa Hiphop

ZE NDINDINDI

JF-Expert Member
Sep 19, 2016
1,885
4,010
Hapa bwana Bashite straight outta Koromije akiwa anachana ma verse hatari
Eeh Mungu wa Israel,hii nchi bana kuna ma genius mtaani wamedata na msongo wa mawazo huku kuna vilaza wanaojua kujipendekeza na kufokea watu ndipo wanaonekana wachapa kazi
Freeman mbowe wanaandika Filemoni,slipway wanaandika sleepway basi tafrani tupu,
haya sasa nawaletea yule kiumbe aliyekuwa anaandikiwa documents kwa English na miss wema sepetuuuuuuuuuuuuuu
Capture.JPG
 
Hapa bwana Bashite straight outta Koromije akiwa anachana ma verse hatari
Eeh Mungu wa Israel,hii nchi bana kuna ma genius mtaani wamedata na msongo wa mawazo huku kuna vilaza wanaojua kujipendekeza na kufokea watu ndipo wanaonekana wachapa kazi
Freeman mbowe wanaandika Filemoni,slipway wanaandika sleepway basi tafrani tupu,
haya sasa nawaletea yule kiumbe aliyekuwa anaandikiwa documents kwa English na miss wema sepetuuuuuuuuuuuuuu
View attachment 476254
Duu
Watu mpo deep!!!!!!
 
Ha haaa amenikumbusha mambo ya YO RAP BONANZA enzi hizo. Kumbe anacho kipaji cha kurap ni bora akomae huko. Huu uhalifu alioufanya wa kuiba cheti cha mtu baada ya kufeli na kupata zero au fa fa faaaaa faaaaaaaa kama alivyosema Gwajima inabidi Bashite aachane nao kwa kwenda kurisiti kutumia cheti cha TP Lindanda Sec School au akapige QT
 
Back
Top Bottom