Sijui tatizo lako nini mkuu!!tema mate chini man na mwombe mungu kikombe hiko kikupitie mbali maana hujui kesho yako inawwzekana huyo jamaa nae jana alikuwa hapa jf ana-chat leo yupo kaangukia hapo!
...mi nilivyomuelewa hakumaanisha vibaya kama ulivyofikiri wwSijui tatizo lako nini mkuu!!
Kuna shida kukumbuka kwamba enzi za Rais wetu wa kwanza ilikuwa mtu ukiokota MAKOPO barabarani UMEROGWA!!
Na hii inamaanisha pia kwamba hali ya uchumi inaporomoka badala ya kusogea!!Nilivyoelewa mimi ni kwamba enzi zile ukimuona mtu anaokota makopo basi karogwa lakini siku hizi watu wazima na akili timamu unawakuta na mifuko kama hiyo katika madampo wakiokota chupa wakauze
Hivi wewe umeelewa kweli?tema mate chini man na mwombe mungu kikombe hiko kikupitie mbali maana hujui kesho yako inawwzekana huyo jamaa nae jana alikuwa hapa jf ana-chat leo yupo kaangukia hapo!
Hajamchek mkuu rudiabkusoma tenatema mate chini man na mwombe mungu kikombe hiko kikupitie mbali maana hujui kesho yako inawwzekana huyo jamaa nae jana alikuwa hapa jf ana-chat leo yupo kaangukia hapo!
Kweli hujakosea mkuu