Kingsharon92
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 7,552
- 9,528
Hii imekuwa kama wimbo wa taifa
Tangu awamu ya 5 ishike hatamu hakuna ambaye hajaguswa kwa namna moja au nyingine
Kwa wenye umri kama wangu ambao tumeziishi awamu zote mtakubaliana nami kila awamu ilikuwa na mazuri yake na magumu yake na maisha yalisonga wenye kujenga walijenga kila mtu kwa wakati wake kuna watu tulikuwa nao awamu zote hawa kujenga hata chumba na sebule leo hii ndiyo waimbaji wakubwa utasikia ooooh wakati wa mwinyi mkapa jk pesa ilikuwa nje nje tu na ukiangalia hakuna cha maana alichokifanya awamu zote sasa najiuliza hizo pesa nje nje mlikuwa mnazipeleka wapi na mlikuwa mnazitoa wapi ambapo leo hii hamzipati tena?
Tangu awamu ya 5 ishike hatamu hakuna ambaye hajaguswa kwa namna moja au nyingine
Kwa wenye umri kama wangu ambao tumeziishi awamu zote mtakubaliana nami kila awamu ilikuwa na mazuri yake na magumu yake na maisha yalisonga wenye kujenga walijenga kila mtu kwa wakati wake kuna watu tulikuwa nao awamu zote hawa kujenga hata chumba na sebule leo hii ndiyo waimbaji wakubwa utasikia ooooh wakati wa mwinyi mkapa jk pesa ilikuwa nje nje tu na ukiangalia hakuna cha maana alichokifanya awamu zote sasa najiuliza hizo pesa nje nje mlikuwa mnazipeleka wapi na mlikuwa mnazitoa wapi ambapo leo hii hamzipati tena?