Enzi za Mwinyi – Best Days of My Life!

Ifeel your pain bro lakini hii ya kusoma ili upate kazi haijakaa vizuri kuna masomo ambayo hata kabla hujamaliza unafahamu nisipopata kazi nitafanya hiki.

Mkuu stop there!!! Dunia nzima hata kwenye nchi za kibepari unaanza kwanza kuajiriwa ndiyo baadae unajiajiri unless kama unazungumzia kwenda kuuza mbao au you are from a privileged family background . Man, have you done that stuff from scratch, from zero???? Asikuambie mtu unaweza kujikuta umekuwa konda hata kama umesomea udaktari. For the past 20 years I have been in and out ya kuajiriwa na kujiajiri. I practically know wht it is and what it takes. Sema uzuri wa ughaibuni mambo yako straight siyo hapo kwetu una wazo unaenda kulisajili, unawekewa mizengwe halafu hao watu wa registration unaona wanafanya kitu kile kile ulichotaka kufanya. Mkuu I have been into everything uvuvi, uchoji, uchuuzi you name it. Ndiyo maana personally huwa sitaki kabisa kuukumbuka huo wakati.
 
It doesn't make any sense at all. For starters, wakati wa Mwinyi kulikuwa hakuna kitu kinaitwa "internet" au "cell phone". That makes a whole lot of difference. Hii itakuwa ni sawa na kulinganisha kupanga foleni ya tiketi ya kuingia Empire Cinema kuangalia a 1970's Blaxploitation movie kama "One Down, Two To Go" au an old western kama "The Good, The Bad, and The Ugly" na kununua DVDs of a couple of weeks old Hollywood flips kutoka kwa Wamachinga mitaani ukaangalie nyumbani. The world moved on since those "ancient" days, aisee.
 
Mzee ruksa alitutoa katika hali ngumu sana aliyotuacha na Mw. Nyerere ...... Foleni za sukuri.. unga wa yanga... yalipotea kabisaaa!!
 
Bila kumumunya maneno, Mzee Mwinyi ndie aliyeharibu nchi. Hayo yote Ngwanakilala na The Boss mnayozungumzia yalikuwa kwa watu wachache halafu wa mijini. Vijijini kulikokuwa na 80% ya watanzania it was worse
 
Kwa bahati mbaya mngempa mwinyi miaka mingine mitano ndo mngejua uzuri wa mkakasi. Mlikuwa mnaona raha kuimport tu na vi clearing vyenu bila ku export. Athari yake ilikuwa ni balance of payments. Mnakumbuka kuwa mkapa alikopa hela kwa mtu binafsi kufanya safari yake ya kwanza ya kiserikaji nje ya nchi?
 
mimi nakumbuka mchezo wa sikukuu ikiangukia weekend mnailipia siku za kazi lol
enzi zile watu walikuwa starehe sana
siku hizi watu wanafanya kazi wenyewe mpaka weekend
maisha magumu mno lol

....ndipo nchi ikaitwa, Jamhuri ya Muungano ya Mapumziko ya Tanzania!!
 
Mzee ruksa alitutoa katika hali ngumu sana aliyotuacha na Mw. Nyerere ...... Foleni za sukuri.. unga wa yanga... yalipotea kabisaaa!!
Hayo mambo ya foleni za sukari ni kutokana na ukame wa mwaka '75 na shinikizo la wamagharibi wakati wa vita vya baridi. Inashangaza kwa wewe kuona wakati wa mwinyi mambo kuwa mazuri. Kwa sababu nchi iliharibika sana watu wakakosa uwajibikaji, watu waliuwa wanazunguka zunguka tuu eti mishen town na wanarudi na maburungutu bila ya kuzalisha. Hatimaye hazina ikaishiwa fedha, kwasababu nchi haikusanya kodi.
 
Mkuu safi hiyo ilikuwa upande wako and glad you still remember those days, but here is the other side of the story!

Mkuu unajua tuliograduate wakati huo huwa hatutaki kabisa kisikia hiyo era ya Mzee ruksa, kulikuwa hakuna kazi completely tena hasa kwenye uhandisi...

Usifanye mchezo bana wakati wa Mwinyi mabo yalikuwa mazuri sana, lakini sasa hivi imekuwa kinyume................. Binafsi sijaona Rais bora zaidi ya Mwinyi toka tupate UHURU!
 
Usifanye mchezo bana wakati wa Mwinyi mabo yalikuwa mazuri sana, lakini sasa hivi imekuwa kinyume................. Binafsi sijsons Rais bora zaidi ya Mwinyi toka tupate UHURU!
Du!!!!!
 
Back
Top Bottom