Enzi za mwalimu

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,632
697,702
1416925294613.jpg
 
au "teremka tuzoze" sweet candy...

Ilikuwa ili kijana uwe umekamilika ni lazima uwe na hiyo kitu, pekoz, redio mkulima, na ukiwa na ghetto yaani wee mwanaume tayari ndiyo kigezo cha kuoa,,,,,, maisha tumetoka mbali bhana,,
 
Ilikuwa ili kijana uwe umekamilika ni lazima uwe na hiyo kitu, pekoz, redio mkulima, na ukiwa na ghetto yaani wee mwanaume tayari ndiyo kigezo cha kuoa,,,,,, maisha tumetoka mbali bhana,,

Veto lenyewe kitanda cha banco na taa ya kandili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom