ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Kampuni ya mabasi taifa(Kamata)
Urafiki Textile
Mwatex
Sungura TeX
Kilitex
Musoma TeX
Tabora Spinning
Ubungo spinning
Ufi
Kibuku
Tipper
Bhesco
General tyre
N.M.C.
R.T.C
National Panasonic
Nasaco
Tacoshili
Tanzania Elimu Supply
National housing Corporation
Tanzania Dairies Ltd (Maziwa)
Tanzania Fishnet
Uda
TRC
Agip(T)Ltd
Esso
Shell Tanzania
Embassy Hotel
Motel Agip
Dodoma Hotel
Tabora Hotel
Tanganyika Packers Ltd
Tancut-Iringa
Morogoro Canvas
Swala bicycles
Nyumbu
Tamco Kibaha....nk
Nimekumbuka Enzi tuliokulia wakati huo hakuna ada ya kumwona daktari..!so ilikua hauhitajiki kubeba pochi kwenda kutibiwa!
Shule daftari ikiisha linachanwa unapewa jipya!
Dar es salaam magari ya taka yalipita kila mtaa kukusanya taka bure!
Walipita wapuliziaji dawa vyooni na makaroni bure!
Kulikua na street lights
Uda ilifika hadi Kongowe,Tandika kilakala,Mlandizi nk
Chai ya maziwa na mkate wa siha ilikua jambo kawaida kila asubuhi kila nyumba
Hata sie wanyongeTuliishi nyumba za Nhc!
Noli noli(ambulance)zilifika uswahilini kubeba wazazi
mia nyekundu ilikua na nguvu ajabu!
Ee mungu turudishe enzi zile! Enzi za Mzee majambo !!
Sent using Jamii Forums mobile app
Urafiki Textile
Mwatex
Sungura TeX
Kilitex
Musoma TeX
Tabora Spinning
Ubungo spinning
Ufi
Kibuku
Tipper
Bhesco
General tyre
N.M.C.
R.T.C
National Panasonic
Nasaco
Tacoshili
Tanzania Elimu Supply
National housing Corporation
Tanzania Dairies Ltd (Maziwa)
Tanzania Fishnet
Uda
TRC
Agip(T)Ltd
Esso
Shell Tanzania
Embassy Hotel
Motel Agip
Dodoma Hotel
Tabora Hotel
Tanganyika Packers Ltd
Tancut-Iringa
Morogoro Canvas
Swala bicycles
Nyumbu
Tamco Kibaha....nk
Nimekumbuka Enzi tuliokulia wakati huo hakuna ada ya kumwona daktari..!so ilikua hauhitajiki kubeba pochi kwenda kutibiwa!
Shule daftari ikiisha linachanwa unapewa jipya!
Dar es salaam magari ya taka yalipita kila mtaa kukusanya taka bure!
Walipita wapuliziaji dawa vyooni na makaroni bure!
Kulikua na street lights
Uda ilifika hadi Kongowe,Tandika kilakala,Mlandizi nk
Chai ya maziwa na mkate wa siha ilikua jambo kawaida kila asubuhi kila nyumba
Hata sie wanyongeTuliishi nyumba za Nhc!
Noli noli(ambulance)zilifika uswahilini kubeba wazazi
mia nyekundu ilikua na nguvu ajabu!
Ee mungu turudishe enzi zile! Enzi za Mzee majambo !!
Sent using Jamii Forums mobile app