Enzi za Mwalimu na Kawawa walitumia vipaza sauti gani kwenye mikutano ya hadhara?

Dr Akili

JF-Expert Member
Aug 21, 2011
4,952
4,326
Kwanza napenda ku declare interest kwamba mimi si mwanachama cha siasa cho chote. Mimi ni mwanasayansi tu!
Hili suala la kuahirisha mikutano ya hadhara ya kisiasa kwa sababu ya uhafifu wa vipaaza sauti linanipa taabu sana kulielewa.

Sayansi ya vipaaza sauti ni nyepesi sana, hata wahitimu wetu toka vyuo vyetu vya VETA ambao tunao wengi kila sehemu nchini ni magwiji sana wa tekinolojia hii. Hata kwenye sherehe za harusi, disko n.k. hili huwa haliwapi taabu. Hata Enzi za akina Nyerere na Kawawa haikuwahi kutokea eti mkutano unaahirishwa kwa kukosa kipaaza sauti. Walikuwa na nguvu na uwezo wa kuhutubia maelfu ya watu hata bila kuwa na vipaaza sauti na watu wakawasikia vizuri tuu.

Naomba mtujuze ni wapi pengine nchini au sehemu nyingine duniani ambapo mkutano mkubwa wa hadhara wa kisiasa ulishapata kuahirishwa kwa sababu ya vipaaza sauti?
 
...Naomba mtujuze ni wapi pengine nchini au sehemu nyingine duniani ambapo mkutano mkubwa wa hadhara wa kisiasa ulishapata kuahirishwa kwa sababu ya vipaaza sauti?
Hakuna mahali pengine nchini ambapo mkutano uliahirishwa kwa sababu ya vipaza sauti, kwa sababu hakuna mahali pengine nchini mikutano iliwahi kuhudhuriwa na umati mkubwa wa watu kama unavyotokea kwa Edward Lowassa. Huwezi kuahirisha mkutano wa watu wachache wanaokuzunguka kidogo tu kwani wote watakusikia tu hata bila kipaza sauti, lakini kaama watu wapo kwenye umbali wa hadi mita 500 kutoka ulipo, kama kweli unataka wakusikie wote utajipanga tu upya!
 
Kwanza napenda ku declare interest kwamba mimi si mwanachama cha siasa cho chote. Mimi ni mwanasayansi tu!
Hili suala la kuahirisha mikutano ya hadhara ya kisiasa kwa sababu ya uhafifu wa vipaaza sauti linanipa taabu sana kulielewa.

Sayansi ya vipaaza sauti ni nyepesi sana, hata wahitimu wetu toka vyuo vyetu vya VETA ambao tunao wengi kila sehemu nchini ni magwiji sana wa tekinolojia hii. Hata kwenye sherehe za harusi, disko n.k. hili huwa haliwapi taabu. Hata Enzi za akina Nyerere na Kawawa haikuwahi kutokea eti mkutano unaahirishwa kwa kukosa kipaaza sauti. Walikuwa na nguvu na uwezo wa kuhutubia maelfu ya watu hata bila kuwa na vipaaza sauti na watu wakawasikia vizuri tuu.

Naomba mtujuze ni wapi pengine nchini au sehemu nyingine duniani ambapo mkutano mkubwa wa hadhara wa kisiasa ulishapata kuahirishwa kwa sababu ya vipaaza sauti?

Tuma picha 1 tu kuthibitisha huo mkutano usio na vipaza sauti.

"Maneno ya kitoto kuwaambia wakubwa wenzio ni ........"
 
Kwanza napenda ku declare interest kwamba mimi si mwanachama cha siasa cho chote. Mimi ni mwanasayansi tu!

Ndugu mwanasayansi na bila shaka ni daktari, nadhani unatambua sheria mojawapo ya sayansi ni kuwa na ushahidi/facts...

Baada ya kuandika hayo hebu tuthibitishie haya...

Hata kwenye sherehe za harusi, disko n.k. hili huwa haliwapi taabu.

1. Je mahudhurio ya hiyo sherehe ya harusi au disko yalikuwa ni watu wangapi?

2. Je ni eneo la ukubwa gani lililohodhi hiyo sherehe au disko?

3. Je hilo eneo lilikuwa la wazi au ukumbi uliokinzwa na kuta?

Hata Enzi za akina Nyerere na Kawawa haikuwahi kutokea eti mkutano unaahirishwa kwa kukosa kipaaza sauti. Walikuwa na nguvu na uwezo wa kuhutubia maelfu ya watu hata bila kuwa na vipaaza sauti na watu wakawasikia vizuri tuu.

Hebu tujuze ni mkutano upi enzi za mwalimu uliohutubiwa na kiongozi yoyote na mkutano huo ulikuwa na umati mkubwa kama ule wa Tunduma, na pia ulikuwa eneo la wazi...
 
Hakuna mahali pengine nchini ambapo mkutano uliahirishwa kwa sababu ya vipaza sauti, kwa sababu hakuna mahali pengine nchini mikutano iliwahi kuhudhuriwa na umati mkubwa wa watu kama unavyotokea kwa Edward Lowassa. Huwezi kuahirisha mkutano wa watu wachache wanaokuzunguka kidogo tu kwani wote watakusikia tu hata bila kipaza sauti, lakini kaama watu wapo kwenye umbali wa hadi mita 500 kutoka ulipo, kama kweli unataka wakusikie wote utajipanga tu upya!

ina maana sikuhiyo mic zote hata zile za akiba zilikua mbovu na hamkupata hata nafasi ya kukimbia dukani kununua nyingine mkutano uendelee. aliyetangaza kuahirisha mkutano alitumia njia gani kufikisha ujumbe wake. mtumie akili kidogo.
 
Kwanza napenda ku declare interest kwamba mimi si mwanachama cha siasa cho chote. Mimi ni mwanasayansi tu!
Hili suala la kuahirisha mikutano ya hadhara ya kisiasa kwa sababu ya uhafifu wa vipaaza sauti linanipa taabu sana kulielewa.

Sayansi ya vipaaza sauti ni nyepesi sana, hata wahitimu wetu toka vyuo vyetu vya VETA ambao tunao wengi kila sehemu nchini ni magwiji sana wa tekinolojia hii. Hata kwenye sherehe za harusi, disko n.k. hili huwa haliwapi taabu. Hata Enzi za akina Nyerere na Kawawa haikuwahi kutokea eti mkutano unaahirishwa kwa kukosa kipaaza sauti. Walikuwa na nguvu na uwezo wa kuhutubia maelfu ya watu hata bila kuwa na vipaaza sauti na watu wakawasikia vizuri tuu.

Naomba mtujuze ni wapi pengine nchini au sehemu nyingine duniani ambapo mkutano mkubwa wa hadhara wa kisiasa ulishapata kuahirishwa kwa sababu ya vipaaza sauti?

Hao kina nyerere na kawawa walikuwa wanahutubia watu labda 2000 ndio wengi sana lkn huwezi kuhutubia watu zaidi ya 100000 bila kutumia hiyo njia ukasikika hata siku moja wacha kujiondoa ufahamu
 
ina maana sikuhiyo mic zote hata zile za akiba zilikua mbovu na hamkupata hata nafasi ya kukimbia dukani kununua nyingine mkutano uendelee. aliyetangaza kuahirisha mkutano alitumia njia gani kufikisha ujumbe wake. mtumie akili kidogo.

Kinachokusumbu ni mimba changa na bila kuwa makini utajifungua premature siku ya 25.10
 
Ndugu mwanasayansi na bila shaka ni daktari, nadhani unatambua sheria mojawapo ya sayansi ni kuwa na ushahidi/facts...

Baada ya kuandika hayo hebu tuthibitishie haya...



1. Je mahudhurio ya hiyo sherehe ya harusi au disko yalikuwa ni watu wangapi?

2. Je ni eneo la ukubwa gani lililohodhi hiyo sherehe au disko?

3. Je hilo eneo lilikuwa la wazi au ukumbi uliokinzwa na kuta?



Hebu tujuze ni mkutano upi enzi za mwalimu uliohutubiwa na kiongozi yoyote na mkutano huo ulikuwa na umati mkubwa kama ule wa Tunduma, na pia ulikuwa eneo la wazi...

Ni mwana sayansi wa lumumba na dr wa kubumba
 
ina maana sikuhiyo mic zote hata zile za akiba zilikua mbovu na hamkupata hata nafasi ya kukimbia dukani kununua nyingine mkutano uendelee. aliyetangaza kuahirisha mkutano alitumia njia gani kufikisha ujumbe wake. mtumie akili kidogo.
Mkuu, unajua PA Systems? Unadhani ni suala la kukimbia tu dukani na kununua kama kiberiti?
 
Watu tunatakiwa tuwe great thinker kwelikweli.Issue ya kugoma kwa sauti huwa siyo suala la mic tuu, hii huwa ni suala zima la mfumo wa sauti ktika vyombo husika.Mic zinaweza kuwa ziko OK lkn Tatizo likawa kwenye amplifier au mixer.Lkn ili watu wakuelewe lazima useme mic zimegoma basi.
 
Naomba mtujuze ni wapi pengine nchini au sehemu nyingine duniani ambapo mkutano mkubwa wa hadhara wa kisiasa ulishapata kuahirishwa kwa sababu ya vipaaza sauti?

Simple; nadhani ni kwa sababu hakuna mahala pengine duniani ambapo mkutano wa Mgombea urais umewahi kuwa na mgombea mwenye afya tete
 
Kwanza napenda ku declare interest kwamba mimi si mwanachama cha siasa cho chote. Mimi ni mwanasayansi tu!
Hili suala la kuahirisha mikutano ya hadhara ya kisiasa kwa sababu ya uhafifu wa vipaaza sauti linanipa taabu sana kulielewa.

Sayansi ya vipaaza sauti ni nyepesi sana, hata wahitimu wetu toka vyuo vyetu vya VETA ambao tunao wengi kila sehemu nchini ni magwiji sana wa tekinolojia hii. Hata kwenye sherehe za harusi, disko n.k. hili huwa haliwapi taabu. Hata Enzi za akina Nyerere na Kawawa haikuwahi kutokea eti mkutano unaahirishwa kwa kukosa kipaaza sauti. Walikuwa na nguvu na uwezo wa kuhutubia maelfu ya watu hata bila kuwa na vipaaza sauti na watu wakawasikia vizuri tuu.

Naomba mtujuze ni wapi pengine nchini au sehemu nyingine duniani ambapo mkutano mkubwa wa hadhara wa kisiasa ulishapata kuahirishwa kwa sababu ya vipaaza sauti?

Kichwa yako bovu ww,unalinganisha mkutano wa Edo na ukumbi wa harusi?bora ungepga kimya tu hii mikutano ya edo unatakiwa ulinganishe na ujio wa Papa yohane paulo wa pili si mikutano ya akina nyerere na kawawa au Sendoff
 
Kumbuka kwenye mikutano yao watu hawakuwa wengi kiasi hiki
Back then total number of Tanzanian was 10m but now 46m compare then what energy could be used yesterday without PA and speakers
 
kwanza napenda ku declare interest kwamba mimi si mwanachama cha siasa cho chote. Mimi ni mwanasayansi tu!
Hili suala la kuahirisha mikutano ya hadhara ya kisiasa kwa sababu ya uhafifu wa vipaaza sauti linanipa taabu sana kulielewa.

Sayansi ya vipaaza sauti ni nyepesi sana, hata wahitimu wetu toka vyuo vyetu vya veta ambao tunao wengi kila sehemu nchini ni magwiji sana wa tekinolojia hii. Hata kwenye sherehe za harusi, disko n.k. Hili huwa haliwapi taabu. Hata enzi za akina nyerere na kawawa haikuwahi kutokea eti mkutano unaahirishwa kwa kukosa kipaaza sauti. Walikuwa na nguvu na uwezo wa kuhutubia maelfu ya watu hata bila kuwa na vipaaza sauti na watu wakawasikia vizuri tuu.

Naomba mtujuze ni wapi pengine nchini au sehemu nyingine duniani ambapo mkutano mkubwa wa hadhara wa kisiasa ulishapata kuahirishwa kwa sababu ya vipaaza sauti?

wapiga kura walikuwa wangapi? Nyerere anaondoka alikuwa na watu 28,000,000 tu na hamasa na machopa haykuwepo
 
Hakuna mahali pengine nchini ambapo mkutano uliahirishwa kwa sababu ya vipaza sauti, kwa sababu hakuna mahali pengine nchini mikutano iliwahi kuhudhuriwa na umati mkubwa wa watu kama unavyotokea kwa Edward Lowassa. Huwezi kuahirisha mkutano wa watu wachache wanaokuzunguka kidogo tu kwani wote watakusikia tu hata bila kipaza sauti, lakini kaama watu wapo kwenye umbali wa hadi mita 500 kutoka ulipo, kama kweli unataka wakusikie wote utajipanga tu upya!
Mita 500 kwenye uwanja wa shule ya msingi?
 
Ndugu mwanasayansi na bila shaka ni daktari, nadhani unatambua sheria mojawapo ya sayansi ni kuwa na ushahidi/facts...

Baada ya kuandika hayo hebu tuthibitishie haya...



1. Je mahudhurio ya hiyo sherehe ya harusi au disko yalikuwa ni watu wangapi?

2. Je ni eneo la ukubwa gani lililohodhi hiyo sherehe au disko?

3. Je hilo eneo lilikuwa la wazi au ukumbi uliokinzwa na kuta?



Hebu tujuze ni mkutano upi enzi za mwalimu uliohutubiwa na kiongozi yoyote na mkutano huo ulikuwa na umati mkubwa kama ule wa Tunduma, na pia ulikuwa eneo la wazi...

wee acha porojo na ujinga, mi ntawatukana tu, mkutano wa tabora mwalimu alikuwa na kipaza saut gan? mkutano wa kagera uhuru platform mwalimu alikuwa na kipaza saut gan?
 
Wasiwasi wangu ni iwapo vipaza sauti tu inakuwa issue kuandaaa, je kusimamia dola itakuwaje?
Ndugu mwanasayansi na bila shaka ni daktari, nadhani unatambua sheria mojawapo ya sayansi ni kuwa na ushahidi/facts...

Baada ya kuandika hayo hebu tuthibitishie haya...



1. Je mahudhurio ya hiyo sherehe ya harusi au disko yalikuwa ni watu wangapi?

2. Je ni eneo la ukubwa gani lililohodhi hiyo sherehe au disko?

3. Je hilo eneo lilikuwa la wazi au ukumbi uliokinzwa na kuta?



Hebu tujuze ni mkutano upi enzi za mwalimu uliohutubiwa na kiongozi yoyote na mkutano huo ulikuwa na umati mkubwa kama ule wa Tunduma, na pia ulikuwa eneo la wazi...
 
Back
Top Bottom