Enzi tunavaa magome ya miti watoto walitunzwaje?

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,597
215,272
Mpaka mtoto afikishe miaka miwili + ndiyo anaweza kutambua kuwa anahitaji haja kubwa au ndogo hapa ndipo anafundishwa kujistiri.

Enzi tuna vaa magome ya miti watoto walitunzwaje ili kinyesi kisitapakae? Hali kadhalika babu zetu walihimili vipi baridi bila kuwa na mavazi?
 
Back
Top Bottom