Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,227
- 1,389
Enzi hizo Rais akiwa anafanya ziara watu tulikuwa tunakusanyika barabarani tunampungia mkono.siku hizi wapi bana nani anamuda na misafa ya viongozi.Enzi hizo shule asubuhi tunakimbia mchakamchaka na kuimba nyimbo za uzalendo kwa taifa,siku hizi hakuna tena watoto hawana pumzi ,enzi hizo simba na Yanga wakicheza lazima uende uwanjani au ukeshe na Raidio Huku Halima mchuka akitangaza, siku hizi ni ulaya tu. Unazikumbuka enzi zozote ...!