Enzi hizo za Secondary

Aisee hakuna kitu inauma kama kukamatwa na simu alafu unaambiwa uipasue mbele ya shule Yani balaa sasa ukute umejichanga changa mwenyewe hata mzazi hajui unapoambiwa ukamuite ndo balaa linakuwa kubwa zaidi..!! Si sahihi mwanafunzi kuwa na simu lakini kuipasua ni kujenga chuki kubwa sana...


Sitaisahau Nokia asha yangu milele waalimu Mungu anawaona...wengine huzishika na kuzitumia ni bora.View attachment 1125957
Ngoja nwape kisa.
Enzi hizooo,tupo form 5,me ndo kontawa namiliki kundi lina ad viongozi wa serikali.
One day dogo mmoja aliomba ajiunge kundi letu,sijui kwa nini binafsi sikutaka kabisaa atuzoee sema kamati kuu ikampitisha.
Ishu ilianza dogo huyo,ambae yeye alkua form 3 alipokuja shule na simu iki aendane na sisi kaka zake.
Hamadi siku ya siku kukatokea msako na enzi zetu simu zilikua adimu hata headmaster unaweza juta anatumia ya ttcl mezani.
Shortly dogo simu yake ikadakawa na zetu wengine wote tulihamisha maeneo sababu ilkua rahisi prefect kututonya maana tulkua vidato sawa kasoro dogo.
Hii evwnt inatengeneza chain reaction mbaya sana,
Dogo kimyakimya akatafta petrol,siku moja alfajir akawasha bweni lao asee,bahati nzuri hakuna alieungua na moto ulifanikiwa kuzimwa.
Nakumbuka hio asubuhi mmiliki wa shule akaja na difenda za kutosha,kituo kikahamia palepale,unaitwa ofisi unahojiwa.
Dogo aliti frame hadi nkaanza kutetemeka,kwanza alienda kuficha dumu la petroli kwenye chimbo knalojulikana kundi flani lnatumia,pili kumbe aliandika ujumbe kwa headmaster na mbaya zaidi alinakili a (herufi a) zangu,hua naandika a kama za pc/phone so moja kwa moja km kiongozi wa kundi jumba bovu lkawa lnaniangukia mimi,alvuo mafia yule dogo akasema alitoroka kununua petrol na mwana mwingine ambae alkua form 6 daah,tena wiki yao ya exams inaanza.
Bahati nzuri sana kuna madogo wenzie mwshoni kbsa wakati tunakarbia kupigwa pingu ndo wakaenda kutoa ushahidi kua chanzo ilkua simu na the rest nshaelezea.
Yule dogo alikamatwa na hakurudi tena,sisi tukamaliza 5 pale tukaambiwa tusake shule nyngne tusome 6 maana advvance ikafutwa kabisa.
Nikikumbuka hii ishu,yuke dogo ni reak pschopath asee..very Dangerous.sijui sahivi yukwapi,may lord help him.
Now wengne tukimaliza chuo na mishe xngne,wwngine wameoa,mmoja wetu msanii but hua tukimeet hatuamini kama mtoto mdgo vile na simu ingeweza haribu future yetu
 
Nilidakwa na Head Master nikiwa Lab nilikuwa najiandaa nitumie kuhesabu muda kwenye practical ya Heat.

Hakunirudishia na sikuifuata hata baada ya kumaliza NECTA, nilichofurahi ni kutonizingua kama kunipa adhabu au kuniagiza nimlete mzazi
wakishua
 
Nakumbuka mwaka fln niliokua kidato cha sita nakaribia kufanya mtihani wa Taifa (Necta), ukapita msako mmoja wa ghafla na bahat mbaya siku hiyo kulikua hamna mgonjwa bwenini ili nimwambie akafungue locker langu atoe simu yangu iliyokuwepo ndani ya hilo sanduku..Simu ikakutwa kwangu, sikupanic mana nilijiandaa tyr kisaikolojia kua lazima tuchapwe then tuendelee na kusoma kwaajili ya necta...Sasa kuchapwa hatukuchapwa (tulikua 4-form 6) tena bali tulifukuzwa kabsa na mtihani hakuna kufanya.. Nakumbuka nilienda kupanga kitaa huku napiga mitihani nje (series) nikijua ntarud kufanya pepa, nikaenda kwa mkuu wa wilaya kuomba anisaidie nifanye mitihani, akasema hataweza..ikabd nitoe taarifa kwa mama japo alilia ila nilimtuliza.. kesho yk tukaenda tena kwa Dc akawasiliana na shule ili turud na wazazi..wakamjibu tutawapigia simu wazazi wao waje shulen

Baada ya miez 4, wakasuluhisha yakaisha kwa ubshi sana...wakati yote yanatokea imeshafika Ijumaa ambapo j3 ndy paper linaanza....na natakiwa nifanye kutokea nilikopanga....nilihangaika sana...basi tu haya ni maisha

Kifupi nashukuru Mungu nilimaliza na nilifaulu na sasa chuo nimemaliza pia..ila ishu ya simu ndy ilinitesa nikiwa shule sema niliamin ntafanya pepa ndy mana nilifanya series za kutosha.
Aisee pole sana mkuu... kufukuzwa shule noma sna
 
Ngoja nwape kisa.
Enzi hizooo,tupo form 5,me ndo kontawa namiliki kundi lina ad viongozi wa serikali.
One day dogo mmoja aliomba ajiunge kundi letu,sijui kwa nini binafsi sikutaka kabisaa atuzoee sema kamati kuu ikampitisha.
Ishu ilianza dogo huyo,ambae yeye alkua form 3 alipokuja shule na simu iki aendane na sisi kaka zake.
Hamadi siku ya siku kukatokea msako na enzi zetu simu zilikua adimu hata headmaster unaweza juta anatumia ya ttcl mezani.
Shortly dogo simu yake ikadakawa na zetu wengine wote tulihamisha maeneo sababu ilkua rahisi prefect kututonya maana tulkua vidato sawa kasoro dogo.
Hii evwnt inatengeneza chain reaction mbaya sana,
Dogo kimyakimya akatafta petrol,siku moja alfajir akawasha bweni lao asee,bahati nzuri hakuna alieungua na moto ulifanikiwa kuzimwa.
Nakumbuka hio asubuhi mmiliki wa shule akaja na difenda za kutosha,kituo kikahamia palepale,unaitwa ofisi unahojiwa.
Dogo aliti frame hadi nkaanza kutetemeka,kwanza alienda kuficha dumu la petroli kwenye chimbo knalojulikana kundi flani lnatumia,pili kumbe aliandika ujumbe kwa headmaster na mbaya zaidi alinakili a (herufi a) zangu,hua naandika a kama za pc/phone so moja kwa moja km kiongozi wa kundi jumba bovu lkawa lnaniangukia mimi,alvuo mafia yule dogo akasema alitoroka kununua petrol na mwana mwingine ambae alkua form 6 daah,tena wiki yao ya exams inaanza.
Bahati nzuri sana kuna madogo wenzie mwshoni kbsa wakati tunakarbia kupigwa pingu ndo wakaenda kutoa ushahidi kua chanzo ilkua simu na the rest nshaelezea.
Yule dogo alikamatwa na hakurudi tena,sisi tukamaliza 5 pale tukaambiwa tusake shule nyngne tusome 6 maana advvance ikafutwa kabisa.
Nikikumbuka hii ishu,yuke dogo ni reak pschopath asee..very Dangerous.sijui sahivi yukwapi,may lord help him.
Now wengne tukimaliza chuo na mishe xngne,wwngine wameoa,mmoja wetu msanii but hua tukimeet hatuamini kama mtoto mdgo vile na simu ingeweza haribu future yetu
Dogo alitaka kuchoma bweni ili apoteze ushahidi au??? Maana duuh alifanya unafia aisee itakuwa yuko jela ya watoto maana hiyo kesi ni ngumu mnoo...
 
Dogo alitaka kuchoma bweni ili apoteze ushahidi au??? Maana duuh alifanya unafia aisee itakuwa yuko jela ya watoto maana hiyo kesi ni ngumu mnoo...
Alitaka achome bweni km kumalizia hasira kwa maticha na vilevile kutu frame sisi wengine ndo tumehusika km revenge ya yeye simu yake kudakwa na zetu kupona ,ye aliona kk tumemsnitch tu kisa mdgo.alkua anacheza 2 in 1 kwa akili zake zlivyomtuma..
 
Aisee hakuna kitu inauma kama kukamatwa na simu alafu unaambiwa uipasue mbele ya shule Yani balaa sasa ukute umejichanga changa mwenyewe hata mzazi hajui unapoambiwa ukamuite ndo balaa linakuwa kubwa zaidi..!! Si sahihi mwanafunzi kuwa na simu lakini kuipasua ni kujenga chuki kubwa sana...


Sitaisahau Nokia asha yangu milele waalimu Mungu anawaona...wengine huzishika na kuzitumia ni bora.View attachment 1125957
Nakumbuka siku moja ilikuwa jioni tumekusanyika kwa ajili ya kuhakiki namba... Mbele ya ofisi ya walimu... Sasa kuna jamaa simu yake ikaita ghafla na mkuu wa shule alikuwa akipita..
Mkuu aliposikia akamuita jamaa... Akamuamuru atoe ile simu, kisha aiweke juu ya jiwe, kisha achukue jiwe lingine aiponde ponde yeye mwenyewe mwenye simu yake...
 
Nakumbuka siku moja ilikuwa jioni tumekusanyika kwa ajili ya kuhakiki namba... Mbele ya ofisi ya walimu... Sasa kuna jamaa simu yake ikaita ghafla na mkuu wa shule alikuwa akipita..
Mkuu aliposikia akamuita jamaa... Akamuamuru atoe ile simu, kisha aiweke juu ya jiwe, kisha achukue jiwe lingine aiponde ponde yeye mwenyewe mwenye simu yake...
Duuh aliiponda??
 
Aliiponda ponda, simu + sim card+ memory card
Nakumbuka siku moja ilikuwa jioni tumekusanyika kwa ajili ya kuhakiki namba... Mbele ya ofisi ya walimu... Sasa kuna jamaa simu yake ikaita ghafla na mkuu wa shule alikuwa akipita..
Mkuu aliposikia akamuita jamaa... Akamuamuru atoe ile simu, kisha aiweke juu ya jiwe, kisha achukue jiwe lingine aiponde ponde yeye mwenyewe mwenye simu yake...
 
Nawakilisha wale ambao hawakupata hizo mbilinge za kupokonywa simu

Poleni sana
 
Nilidakwa na Head Master nikiwa Lab nilikuwa najiandaa nitumie kuhesabu muda kwenye practical ya Heat.

Hakunirudishia na sikuifuata hata baada ya kumaliza NECTA, nilichofurahi ni kutonizingua kama kunipa adhabu au kuniagiza nimlete mzazi
Hahaaa, uliona kuifata ingekua msala zaidi, bora kuitelekeza tu
 
Kuna jamaa etu alidakwa na simu

Ikabidi atupange washikaji

Mi nikatoa idea , tutafute namba ya head master hafu tumpigie

Kweli tukaipata tukampigia


Kilichofuata ni historia , sintoweza andika hapa ntajulikana!!
Waliwakamata au? Naskia mlirushwa vichura mbaya ,simulia kidogo basi baba swalehe hutojulikana banaa
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom