rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,423
- 41,726
Aisee hakuna kitu inauma kama kukamatwa na simu alafu unaambiwa uipasue mbele ya shule Yani balaa sasa ukute umejichanga changa mwenyewe hata mzazi hajui unapoambiwa ukamuite ndo balaa linakuwa kubwa zaidi..!! Si sahihi mwanafunzi kuwa na simu lakini kuipasua ni kujenga chuki kubwa sana...
Sitaisahau Nokia asha yangu milele waalimu Mungu anawaona...wengine huzishika na kuzitumia ni bora.
Sitaisahau Nokia asha yangu milele waalimu Mungu anawaona...wengine huzishika na kuzitumia ni bora.