Enzi hizo mwanamke ukimuambia tuachane analia sana ila siku hizi thubutu

Eddy Love

JF-Expert Member
Jul 25, 2011
13,652
8,539
Kweli maisha yanabadilika wandugu hali ya sasa kwenye mapenzi siyo kama zamani,enzi hizo ukimpenda mwanamke halafu mkatibuana ukimuambia kuanzia leo mimi nawewe mapenzi yetu yamekwisha basi hapo mwanamke atalia vibaya mno mpaka utamuonea huruma lakini kwa hali ilivyo sasa ukimuambia tuachane tu anakujibu poa kwaheri na hakutafuti tena


MWISHO: kweli mapenzi ya zamani zamani mpaka nimeyamisi kwakweli
 
Social networks zinawasaidia sana kutangaza soko lao kimataifa, tofauti na zamani ambapo hata wanaume wenyewe kumtongoza dem mpaka ujipande full uoga.


Sku hizi unatuma tuu Emoj inbox anakujibu "I love you too"
teh teh acha masihara mkuu
 
17 Reactions
Reply
Back
Top Bottom