RUV ACTVIST.
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 472
- 110
Enzi hizo mambo yalikuwa mambo....ulikuwa unaweza kupanda daladala umevalia toka gombo la mboto hadi jangwani...siku hizi hata ukiwa na mapenzi na CCM kiasi gani huwezi fanya huo ujinga lakini mtu kuvaa sare ya chama cha upinzani unaonekana mjanja....unadhani nini kinaenda kutokea siku za karibuni....