GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,466
- 108,621
Asikuambie Mtu siku hizi Wanawake wanaoibiwa ama Waume zao au Mabwana zao au Wapenzi wao wenye malengo nao ' wamebuni ' aina mpya ya ' ukomoaji ' hasa kwa wale Wanawake ambao wamethibitisha kuwa wanawaibia hao Wapenzi wao ambapo huwaendea kwa ' Waganga ' na ' Kuwaroga ' kwa kuwafanya Wablidi / Watumike kila uchao.
Nilipata bahati ya Kuongea na Wanawake wawili watatu kuhusu hili na nakumbuka walichoniambia ni kwamba hakuna ' adhabu ' kali, katili na mbaya ambayo Mwanamke yoyote yule duniani hasa wa Kiafrika asiyoipenda kama ' Kurogwa ' ili awe ' anablidi ' kila siku hali ambayo itampelekea awe anavaa UpendoPeneza / Pedi kutwa.
Wanawake wengi sana wa hapa mjini wamekuwa Wahanga wakubwa wa aina hii ya Ulozi / Uchawi wanaofanyiwa na Wanawake wenzao wanaowahisi ' wanawaibia ' Wapenzi wao. Hivi ninavyotiririka na kuserereka na huu ' uzi ' kuna Mdada mmoja tumetoka kumpakiza katika moja ya Gari zinazopeleka Magazeti Mikoani ili aende ' Kijijini ' Kwao nae ' akaaguliwe ' na Bibi zake ili arudi kuwa katika hali yake ya kawaida kwani huu sasa ni mwaka wa pili unakatika kila siku inabidi awe tu ananunua na kutumia UpendoPeneza / Pedi katika ' Kujisitiri ' na ilifika muda hadi akawa amekata tamaa kabisa na kutaka ' Kujiua ' ila juhudi zangu za Kisaikolojia na kumfanyia ' Counseling ' ya Kutukuka zimeweza kusitisha mpango wake huo wa kujitoa ' Uhai ' aliotaka kushirikiana na Israeli.
Namalizia kwa kuwaulizeni nyie Dada zangu mliopo humu JamiiForums hivi hamna kweli uchawi ' mbadala ' wa Kuwarogea Wanawake wenzenu ili washike adabu zao mpaka tu ' muwaroge ' kwa kuwafanya ' Wablidi / Watumike ' 24/7? Hivi nyie hamna huruma kwa jinsi hao Wanawake wenzenu wanavyoteseka na kuingia gharama za kila siku tu kununua MiupendoPeneza / Mipedi na kuitumia?
Ushauri wangu mdogo tu Kwenu ni kwamba naona kuliko ' Kuwaroga ' Wanawake wenzenu hao ili wawe ' wanablidi ' mfululizo basi ni bora tu ' mkawaroga ' wasiwe wanashika ujauzito / mimba kwani nadhani hiyo nayo itakuwa ni ' adhabu ' tosha Kwao kuliko hiyo nyingine mnayoipenda ambayo binafsi naiona ni kama vile ni ya Kikatili / Kibedui mno.
Nawasilisha.
Nilipata bahati ya Kuongea na Wanawake wawili watatu kuhusu hili na nakumbuka walichoniambia ni kwamba hakuna ' adhabu ' kali, katili na mbaya ambayo Mwanamke yoyote yule duniani hasa wa Kiafrika asiyoipenda kama ' Kurogwa ' ili awe ' anablidi ' kila siku hali ambayo itampelekea awe anavaa UpendoPeneza / Pedi kutwa.
Wanawake wengi sana wa hapa mjini wamekuwa Wahanga wakubwa wa aina hii ya Ulozi / Uchawi wanaofanyiwa na Wanawake wenzao wanaowahisi ' wanawaibia ' Wapenzi wao. Hivi ninavyotiririka na kuserereka na huu ' uzi ' kuna Mdada mmoja tumetoka kumpakiza katika moja ya Gari zinazopeleka Magazeti Mikoani ili aende ' Kijijini ' Kwao nae ' akaaguliwe ' na Bibi zake ili arudi kuwa katika hali yake ya kawaida kwani huu sasa ni mwaka wa pili unakatika kila siku inabidi awe tu ananunua na kutumia UpendoPeneza / Pedi katika ' Kujisitiri ' na ilifika muda hadi akawa amekata tamaa kabisa na kutaka ' Kujiua ' ila juhudi zangu za Kisaikolojia na kumfanyia ' Counseling ' ya Kutukuka zimeweza kusitisha mpango wake huo wa kujitoa ' Uhai ' aliotaka kushirikiana na Israeli.
Namalizia kwa kuwaulizeni nyie Dada zangu mliopo humu JamiiForums hivi hamna kweli uchawi ' mbadala ' wa Kuwarogea Wanawake wenzenu ili washike adabu zao mpaka tu ' muwaroge ' kwa kuwafanya ' Wablidi / Watumike ' 24/7? Hivi nyie hamna huruma kwa jinsi hao Wanawake wenzenu wanavyoteseka na kuingia gharama za kila siku tu kununua MiupendoPeneza / Mipedi na kuitumia?
Ushauri wangu mdogo tu Kwenu ni kwamba naona kuliko ' Kuwaroga ' Wanawake wenzenu hao ili wawe ' wanablidi ' mfululizo basi ni bora tu ' mkawaroga ' wasiwe wanashika ujauzito / mimba kwani nadhani hiyo nayo itakuwa ni ' adhabu ' tosha Kwao kuliko hiyo nyingine mnayoipenda ambayo binafsi naiona ni kama vile ni ya Kikatili / Kibedui mno.
Nawasilisha.