Deaf Milionaire
JF-Expert Member
- Apr 21, 2019
- 426
- 496
Kweli kuna mmoja hata mimi namhisi analiwaSix pack wengi ni mashoga
Kweli kuna mmoja hata mimi namhisi analiwaSix pack wengi ni mashoga
Kweli kuna mmoja hata mimi namhisi analiwaSix pack wengi ni mashoga
Siyo mbaya maana duniani kuna wanaume na kuna watu wenye jinsia ya kiumeYaa
Kila familia ina mipango yake!
Kuna ubaya gani nikikaa home mwaka wa 13 sasa nalea watoto na mke ndiyo anafanya kazi?
Siyo mbaya maana duniani kuna wanaume na kuna watu wenye jinsia ya kiume
Nishajua tena....labda uje ubadilike tena maana kwa kujua kutuhangaisha hamjambo!Haha acha ukorofi
tunabadilika kama kinyongaNishajua tena....labda uje ubadilike tena maana kwa kujua kutuhangaisha hamjambo!
Kesho naeza skia unavyowaponda hao favourite wako hadi nikajikuta dillema tena.
kwakweli...aliesema wanawake kama "watoto" hata hakukosea nadhani alijiridhisha sana na nimekua nimeshuhudia hilo.tunabadilika kama kinyonga
Acha mawazo mgando kama ndoa zote duniani ziendeshwe sawaSiyo mbaya maana duniani kuna wanaume na kuna watu wenye jinsia ya kiume
Sawa mwenye jinsia ya kiume tu (ila siyo mwanaume kamili) furahia ndoa yako na huyo mwenzio mwenye jinsia ya kike tu (ila siyo mwanamke kamili) haya mjadala umekwisha.Acha mawazo mgando kama ndoa zote duniani ziendeshwe sawa
Wana ndoa ndiyo wana amua ndoa yao iendeshwe vipi
Sisi ndoa yetu ipo imara,inasonga mbele na mtoto wa 5 anakuja September hii
Anyway,sitakujibu tena nimeamua "kukupuuza"