Cute Cindy
JF-Expert Member
- Apr 9, 2019
- 211
- 591
Enyi wanaume, tambueni kuwa wanawake wengi wanawaona nyie ni kama daftari, au kalamu, yani daftaari likishajaa linatupwa, kalamu ikishaisha wino inatupwa..mchunguze vizuri demu wako au mkeo, utagundua yuko na ww kwasabab unampa vihela ambavyo vitamfanya a-survive kwenye haya maisha..kwa bahati mbaya siku ukishindwa kabisa kutoa hiyo hela na huna muelekeo wa kupata ahueni ya kiuchumi huko mbeleni, bhasi ujue fika kuwa utaachwa..
Narudia tena, mchunguze vizuri mkeo/demu wako utagundua yuko na ww kwasababu unamlisha, unamvisha, unampa vihela vya hapa na pale, Na unamwekea paa juu ya kichwa chake..siku ukikosa uwezo wa ku-provide hizo financial benefits bhas na ww utaachwa
Kuna watakaokuja hapa kunipinga au kunikejeli, lkn huu ndo ukweli mchungu.
Narudia tena, mchunguze vizuri mkeo/demu wako utagundua yuko na ww kwasababu unamlisha, unamvisha, unampa vihela vya hapa na pale, Na unamwekea paa juu ya kichwa chake..siku ukikosa uwezo wa ku-provide hizo financial benefits bhas na ww utaachwa
Kuna watakaokuja hapa kunipinga au kunikejeli, lkn huu ndo ukweli mchungu.