Ndugu Zanguni Tunarudi Tena Na Somo Kwa Wale Mabinti Wanaoolewa Au Waliioolewa,,jamani Hakuna Starehe Kama Mme Kujua Mkewe Anamtii Na Kumheshimu......kumekuwa Na Wanawake Wengi Ambao Hivi Sasa Wanajua Ndoa Ni Kazi Na Pesa Na Si Mapenzi Tena Na Hili Nimeona Limehangaisha Wengi Sana Na Ndoa Zao Kuaribika,,,
Ewe Mwanamke Ukiolewa Ujue Mumei Ni Kichwa Si Boyfriend Huyo
Unakuta Mmeoana Mwanamke Anakuuliza Kama Umeshindwa Achia Ngoma Wenzio Wahangaike Nayo/1111jamani Kama Ulikuwa Unajuwa We Parking Ya Tbs Pale Posta Ukifika Saa Moja Sh 300/=.....kwa Nini Ulikimbilia Kanisani Au Msikitini..embu Jaribuni Kuacha Kucheza Na Maisha Waume Kwa Wake!!!!nimekuja Na Wanawake Leo Maana Wamekuwa Wakichangia Sana Hivi Karibuni Kuaribu Kama Si Kuvunja Ndoa...na Kuacha Watoto Wakiangaika!!!!!!
Ewe Mwanamke Kama Auko Tayari Kuolewa Acha Nasema Acha..ashura Kaamua Usilazimishe Ili Uonekane Sauri Yako!!!!!
Capuch-wakunesa
Ewe Mwanamke Ukiolewa Ujue Mumei Ni Kichwa Si Boyfriend Huyo
Unakuta Mmeoana Mwanamke Anakuuliza Kama Umeshindwa Achia Ngoma Wenzio Wahangaike Nayo/1111jamani Kama Ulikuwa Unajuwa We Parking Ya Tbs Pale Posta Ukifika Saa Moja Sh 300/=.....kwa Nini Ulikimbilia Kanisani Au Msikitini..embu Jaribuni Kuacha Kucheza Na Maisha Waume Kwa Wake!!!!nimekuja Na Wanawake Leo Maana Wamekuwa Wakichangia Sana Hivi Karibuni Kuaribu Kama Si Kuvunja Ndoa...na Kuacha Watoto Wakiangaika!!!!!!
Ewe Mwanamke Kama Auko Tayari Kuolewa Acha Nasema Acha..ashura Kaamua Usilazimishe Ili Uonekane Sauri Yako!!!!!
Capuch-wakunesa